Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Mwanasheria wangu umesema hivyo, Mimi nani hadi nipinge wakati sijui kifungu chochote cha Sheria 🤗[emoji1787][emoji1787] Hilo Jina tu msiliogope
Kama Mwanasheria wangu umesema hivyo, Mimi nani hadi nipinge wakati sijui kifungu chochote cha Sheria [emoji847]
Usemalo kwangu ni ndiyo tu [emoji12]
Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we niamini tu humu watu wana mapesa mpaka wanaogopa wakiongozwa na Mjep makapuku ni jina tu kama majina mengine
Hapo ndugu mjumbe umefanya rejeo ya kifungu Kipi cha Sheria? Kumbuka nakutegemea wewe ujue 🤗 😜[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we niamini tu humu watu wana mapesa mpaka wanaogopa wakiongozwa na Mjep makapuku ni jina tu kama majina mengine
Hahahahaha
Hapo ndugu mjumbe umefanya rejeo ya kifungu Kipi cha Sheria? Kumbuka nakutegemea wewe ujue [emoji847] [emoji12]
By the way, I got you [emoji847]
I'm real thankful 🙏[emoji1787][emoji1787] we endelea kunitegemea siwezi kukuangusha kabisa
I'm real thankful [emoji120]
Ngoja nitembee kifua mbele as nina mtu Kwa pembeni wa kusema Kwa niaba yangu [emoji847]
Raha ya kuwa na Wajukuu [emoji847]