Makapuku Forum

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we niamini tu humu watu wana mapesa mpaka wanaogopa wakiongozwa na Mjep makapuku ni jina tu kama majina mengine
Madam
Mapesa nayatoa wapi mimi?
Mimi kapuku tu
 
[emoji1787][emoji1787] me naishi bado mtaa wa zamani
Babu yako unajua nilivyozeeka, kunisaidia nisipotee nikija bora uniandikie namba ya Simu ya upepo.

Nikikaribia tu kufika nakupigia kuulizia namba ya nyumba ๐Ÿค—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ