Kipi kimekufanya ulie tena kipenzi?Nimelia sana😭
Aniibe nani sasa, kwanza anaanzaje anzaje huyo mwizi.Heeeh!! Bebe walikuiba?
Niko poa sana...Mambo?Maki kama maki
Hapa maki hapa maka aisee, hakiharibiki kitu.
Natumai uko poa kabisa mshikaji wangu wa dhati.
Ndio walikuiba kama hivi then wakakuachia🙆Aniibe nani sasa, kwanza anaanzaje anzaje huyo mwizi.
Kama mgambo, kasoro kirungu tu.Niko poa sana...Mambo?
Hakuna mwenye jeuri hiyo, dunia hii ni wewe tu ndio umeniwezaNdio walikuiba kama hivi then wakakuachia🙆
Aaah we! Umefichwa hukoo then unakuja kunipanga hapa🙆🙆Hakuna mwenye jeuri hiyo, dunia hii ni wewe tu ndio umeniweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naibukaa pale penye special occasions?!! Woiiiiiih
Ndio walikuiba kama hivi then wakakuachia[emoji134]
Kwani auntie haya mambo unayawezaje? 🤣🤣🤣Pambana auntie [emoji1787]
Nikufuate wapi uninunulie luch babySalama kabisa, karibu lunch.
Kwani auntie haya mambo unayawezaje? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]