...alitakiwa angalau hata anijulishe mapema, sasa nimeachwa bila msimamo, nipo tu na waganga hawataki kupokea suala langu🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo alitakiwa afanye nini?
Sidhani hata kama alikuwa anajua. Alikuwa amefichwa🤣...alitakiwa angalau hata anijulishe mapema, sasa nimeachwa bila msimamo, nipo tu na waganga hawataki kupokea suala langu
...ndo nishasema, simu zangu hazipokelewi. Kwa hiyo kwa sasa hadi niandikiwe barua kwamba nimeachwa au wewe unisaidie kurekebisha mambo. Zawadi nono utaipata, nikirudiwa utafaidi sana yaani nitakuwa nakuwishi hepibasidei kila usiku wa manane watu wamelala🤣🤣🤣 Eehee lete habari sasa, kipi kimejiri?
Sasa waganga wanahusikaje shem?...alitakiwa angalau hata anijulishe mapema, sasa nimeachwa bila msimamo, nipo tu na waganga hawataki kupokea suala langu
...hapana, tumekutana viwanja vya Shababi jmosi kwenye mazoezi yetu maveteraniSidhani hata kama alikuwa anajua. Alikuwa amefichwa🤣
Lete advance niingie kazini shem....ndo nishasema, simu zangu hazipokelewi. Kwa hiyo kwa sasa hadi niandikiwe barua kwamba nimeachwa au wewe unisaidie kurekebisha mambo. Zawadi nono utaipata, nikirudiwa utafaidi sana yaani nitakuwa nakuwishi hepibasidei kila usiku wa manane watu wamelala
...heh, kumbe haujaambiwa, mimi nikiachwa naenda kwa mganga, ukiniacha na wewe unaachika, simpo. Sasa mganga naona kanichokaSasa waganga wanahusikaje shem?
Huh!! Wakati mie aliniaga anasafiri kikazi🙆🙆🙆...hapana, tumekutana viwanja vya Shababi jmosi kwenye mazoezi yetu maveterani
🤣🤣🤣🤣...heh, kumbe haujaambiwa, mimi nikiachwa naenda kwa mganga, ukiniacha na wewe unaachika, simpo. Sasa mganga naona kanichoka
...sasa usiwe na haraka, wewe endelea na ulichonacho, kitumie na kama member wa House Lannister, mara zote nalipa madeni. Muulize aunt yangu Shunie sinaga mbambamba, kila ahadi natimiza. Nilimletea korosho yeye na anko Lee hadi wakanishtaki kwamba nawakomoa kwa kuwapa korosho nyingi kuliko kawaidaLete advance niingie kazini shem.
...hii taarifa inanitesa sana shem, yaani nuru imepotea kabisa usoni niko natanga tu na njia.🤣🤣🤣🤣
Afadhali kakuchoka. Maana dada yangu huyu mstaafu kajua kumshikaa. Tunaogelea mihela tu, umebaki hapo na ubahili wako.
Aaah sitaki.
Akuuu, usije ukatuharibia....hii taarifa inanitesa sana shem, yaani nuru imepotea kabisa usoni niko natanga tu na njia.
Hivi huyu mstaafu unaweza hata kunielekeza anakaa wapi?
Sasa kwani hapo pia si kazini, nawafamyisha mazoezi maveterani..Huh!! Wakati mie aliniaga anasafiri kikazi🙆🙆🙆
makaveli10 ukuje😭😭
Yewoooomi🙆🙆🙆Sasa kwani hapo pia si kazini, nawafamyisha mazoezi maveterani..
Muhimi we mkwanja uingie tu, mengine achana nayo 😂🤣
Mkongwe vipi mkongwe?...hapana, tumekutana viwanja vya Shababi jmosi kwenye mazoezi yetu maveterani
Tulia wewe, wacha zakoYewoooomi🙆🙆🙆
Bora we unajipanga, mie nishapangwa huku 🤣😂...veteran umepigwa tukio!!? Kaa kwa kutulia, ndugu yako najipanga
Mkuu kizuri kula na nduguyoUnisaidie majukumu kwani aliyekwambia nimeshindwa nani, kaa mbali na mamsapu wangu.
😂🤣
Mkuu utoke na box moja la biscuitmoudgulf nakusalimia mdau. Ndugu yako nipo naingia kibaruani kiwanda cha biskuti