makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Imeandikwa wapi, kizuri kula ushibe.Mkuu kizuri kula na nduguyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeandikwa wapi, kizuri kula ushibe.Mkuu kizuri kula na nduguyo
Nakujua bebe bebeZisake baba maana napenda pesa balaa 😍😍😍
Salama wa salminBabe habari za jioni?
Daaah! Nimelia sana.Tulia wewe, wacha zako
Kipi kikulizacho my rouhy?Daaah! Nimelia sana.
Naibiwa huku najiona😭😭😭Kipi kikulizacho my rouhy?
Akuibie nani wewe, tulia mamsapu mie ni wako tuNaibiwa huku najiona😭😭😭
...lol! Haina noma mkongwe, wewe andaa soda tu. Tunagonga biskuti na soda kama mateja vileMkuu utoke na box moja la biscuit
...nipo kaka. Nilikuwa makao makuu kipindi cha bajeti isiyonihusu ila nimetoka tayari back kusini mwa nchi. Shwari lakini?Mkongwe vipi mkongwe?
Shwari kaka namshukuru mungu, ugali unasongwa na unalika....nipo kaka. Nilikuwa makao makuu kipindi cha bajeti isiyonihusu ila nimetoka tayari back kusini mwa nchi. Shwari lakini?
Wanaweza kudhani tuna uswahiba na chid benZ...lol! Haina noma mkongwe, wewe andaa soda tu. Tunagonga biskuti na soda kama mateja vile