Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa shemeji kwani ulifichwa wapi?
...unadhani hata nilifichwa basi, sikufichwa. Nilitingwa na mambo ya kubeti, maana msimu huu nimeona nijipumzishe na kilimo na nimeamua kuwa afisa ubashiri. Kutwa nashinda kwenye betting joints, juzi kati wakakwara simu yangu na namba sina. Tafadhari mwambie aniandikie text hata ya kuuliza kama nimekula, mambo za kubet hayajulikani
 
...unadhani hata nilifichwa basi, sikufichwa. Nilitingwa na mambo ya kubeti, maana msimu huu nimeona nijipumzishe na kilimo na nimeamua kuwa afisa ubashiri. Kutwa nashinda kwenye betting joints, juzi kati wakakwara simu yangu na namba sina. Tafadhari mwambie aniandikie text hata ya kuuliza kama nimekula, mambo za kubet hayajulikani
Aiseeeeh!!!🙆🙆🙆
 
...unadhani hata nilifichwa basi, sikufichwa. Nilitingwa na mambo ya kubeti, maana msimu huu nimeona nijipumzishe na kilimo na nimeamua kuwa afisa ubashiri. Kutwa nashinda kwenye betting joints, juzi kati wakakwara simu yangu na namba sina. Tafadhari mwambie aniandikie text hata ya kuuliza kama nimekula, mambo za kubet hayajulikani
🤣🤣
 
Magazeti ya leo July 24, 2024.
IMG_3837.jpg
 
Back
Top Bottom