Ila we mtuuu 🤣🤣🤣Sasa shemeji kwani ulifichwa wapi?
Daaah kama mtu kweliiii 🤣😍Auntie ukoo lazima ulindwe bwana!! Hata angekuwa mbibi.
Hatujamboo mkuu habari yakoMakapu wote hamjambo??😊
Mtu na robo tatu kabisa🤣🤣Daaah kama mtu kweliiii 🤣😍
Mtu na robo tatu kabisa[emoji1787][emoji1787]
Acha wivu auntie🤣Aaah wapiiiiii [emoji1787]
Niko fit kimtindoHatujamboo mkuu habari yako
...unadhani hata nilifichwa basi, sikufichwa. Nilitingwa na mambo ya kubeti, maana msimu huu nimeona nijipumzishe na kilimo na nimeamua kuwa afisa ubashiri. Kutwa nashinda kwenye betting joints, juzi kati wakakwara simu yangu na namba sina. Tafadhari mwambie aniandikie text hata ya kuuliza kama nimekula, mambo za kubet hayajulikaniSasa shemeji kwani ulifichwa wapi?
...sijambo kabisa, nikiwasemea wengine nchi ngumu sana hii. Ni jambo zuri kuwa hapaMakapu wote hamjambo??😊
Aiseeeeh!!!🙆🙆🙆...unadhani hata nilifichwa basi, sikufichwa. Nilitingwa na mambo ya kubeti, maana msimu huu nimeona nijipumzishe na kilimo na nimeamua kuwa afisa ubashiri. Kutwa nashinda kwenye betting joints, juzi kati wakakwara simu yangu na namba sina. Tafadhari mwambie aniandikie text hata ya kuuliza kama nimekula, mambo za kubet hayajulikani
...ndo hivyo, simu zimeharibu sana mambo, ingekuwa enzi za barua na SLP hata nisingesumbuka kukuomba umwambie anitext, sina jinsiAiseeeeh!!!🙆🙆🙆
🤣🤣...unadhani hata nilifichwa basi, sikufichwa. Nilitingwa na mambo ya kubeti, maana msimu huu nimeona nijipumzishe na kilimo na nimeamua kuwa afisa ubashiri. Kutwa nashinda kwenye betting joints, juzi kati wakakwara simu yangu na namba sina. Tafadhari mwambie aniandikie text hata ya kuuliza kama nimekula, mambo za kubet hayajulikani
..uwe na usiku mwema pia mdau. Kitambo sana
Usiku mwema kwako pia