Makapuku Forum

Hiyo ni sawa na kuziba shimo la panya kwa kipande cha mkate.. Kuna watu wanaishi tegeta nyuki na hawali asali...
 
Na tumshukuru anatuletea magazeti ya mwananchi na ndugu zake, ingekuwa the gurdian, daily news na wenzao ingebidi tununue dictionaries.
ha hahahaha, ninachofanya ni kusoma gazeti la Mwananchi halafu nabeba gazeti la The Citizen au nasoma habari leo afu nazuga kwa Daily News, hawa mara nyingi huandika habari sawa kwa lugha tofauti.

Au unafanya mambo ya google translator
 
ha hahahaha, ninachofanya ni kusoma gazeti la Mwananchi halafu nabeba gazeti la The Citizen au nasoma habari leo afu nazuga kwa Daily News, hawa mara nyingi huandika habari sawa kwa lugha tofauti.

Au unafanya mambo ya google translator
Hapo ni ubaya ubwela.. πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…