Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Unaipiga mwingi[emoji28]
Asante kipenzi [emoji120][emoji3059]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaipiga mwingi[emoji28]
View: https://www.youtube.com/watch?v=e4ujS1er1r0
maharage kupikwa kwenye birika la umeme kuokoa gesi. utafiti haujafanyika ila waweza kujaribu.
Humu kumejaa watu wema sana na kila mmoja apokee heshima nyingi toka kwa mdau wenu. Atoto fikisha salamu zangu tafadhari, ni maisha tu ambayo bila salamu hayana maana
...nakusalimia pia shemegi yangu, hebu mjulishe makaveli10 nimemdipu mara hizi ✌️Bwana shemeji nakusalimu kwa jina la jamhuri!
Kaka huku nilipo netiweki ni mpaka niende kwa mjumbe nipande juu ya mti...nakusalimia pia shemegi yangu, hebu mjulishe makaveli10 nimemdipu mara hizi ✌️
View: https://www.youtube.com/watch?v=e4ujS1er1r0
maharage kupikwa kwenye birika la umeme kuokoa gesi. utafiti haujafanyika ila waweza kujaribu.
Humu kumejaa watu wema sana na kila mmoja apokee heshima nyingi toka kwa mdau wenu. Atoto fikisha salamu zangu tafadhari, ni maisha tu ambayo bila salamu hayana maana
Na tumshukuru anatuletea magazeti ya mwananchi na ndugu zake, ingekuwa the gurdian, daily news na wenzao ingebidi tununue dictionaries.Shunie asante sana kwa magazeti.
View: https://www.youtube.com/watch?v=e4ujS1er1r0
maharage kupikwa kwenye birika la umeme kuokoa gesi. utafiti haujafanyika ila waweza kujaribu.
Humu kumejaa watu wema sana na kila mmoja apokee heshima nyingi toka kwa mdau wenu. Atoto fikisha salamu zangu tafadhari, ni maisha tu ambayo bila salamu hayana maana
🤣🤣🤣🤣 Ila auntieeeBwana shemeji nakusalimu kwa jina la jamhuri!
🤣🤣🤣Na tumshukuru anatuletea magazeti ya mwananchi na ndugu zake, ingekuwa the gurdian, daily news na wenzao ingebidi tununue dictionaries.
ha hahahaha, ninachofanya ni kusoma gazeti la Mwananchi halafu nabeba gazeti la The Citizen au nasoma habari leo afu nazuga kwa Daily News, hawa mara nyingi huandika habari sawa kwa lugha tofauti.Na tumshukuru anatuletea magazeti ya mwananchi na ndugu zake, ingekuwa the gurdian, daily news na wenzao ingebidi tununue dictionaries.
Lol! Siku ukimkuta mjumbe anahasira ndo utajua mjumbe hauwawi ila anaweza kukuletea matatizoKaka huku nilipo netiweki ni mpaka niende kwa mjumbe nipande juu ya mti
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila auntieee
Huku mjumbe wa nyumba 10 ni mpangaji wa nyumba ya 11Lol! Siku ukimkuta mjumbe anahasira ndo utajua mjumbe hauwawi ila anaweza kukuletea matatizo
Hapo ni ubaya ubwela.. 😂ha hahahaha, ninachofanya ni kusoma gazeti la Mwananchi halafu nabeba gazeti la The Citizen au nasoma habari leo afu nazuga kwa Daily News, hawa mara nyingi huandika habari sawa kwa lugha tofauti.
Au unafanya mambo ya google translator
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie hujambo?
😂😂😂 Mbinguni moja kwa moja.Sijambo auntie ila una pepo yako [emoji1787]