Naona hatimae mshangazi umekuachia!!
HahahahahaNimekumiss pia pita pita unipe mahela basi
Hellow makapukuuuuuuuuu?!!
Nimewamic mnooooo!!!
Hahahahaha, wakuu mjue mie macho kdg sio mazuri mpk miwani ila naona hata hii miwani nayo jau .kwa magazeti haya ya leo
Hahahahaha, shangazi umetisha leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja nifute we mzee ya leo kaliiii
Hahahahaha, ujue kila nikisoma naona content ya zamani,,nikahisi miwani inadanganyaDaaah ndio umenisanua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enx Da shuu!! [emoji120][emoji120][emoji120]Tumekumiss pia
Hahahahaha, shangazi umetisha leo
Nilikuwa nasubiri urudi Kazini uje unielekeze Babu yako
Maana Kwa Uzee huu nilikuwa sijaelewa kitu [emoji12]
Hahahahaha, mie huwa simsemei mtu na wala siwezi kufanya hivyo..hii nimesema kwa heshima yako tu, ila ningeweza kuacha watu waone hili boko ulilotoa,kulinda hadhi ya jukwaa / uzi[emoji1787][emoji1787] sasa babu Grahams mbona kajisomea hajaongea kitu au hajajua
Hahahahaha, mie huwa simsemei mtu na wala siwezi kufanya hivyo..hii nimesema kwa heshima yako tu, ila ningeweza kuacha watu waone hili boko ulilotoa,kulinda hadhi ya jukwaa / uzi
Hahahahaha, usijari Rafiki Shangazi, imepitaMe nashukuru kwa kuniambia we mzee ila kwa mfano ingejulikana sijui kesho uko ningeacha hivyohivyoo nisingefuta [emoji1787][emoji1787] wangejua wenyewe waliosoma halafu me magazeti kabla sijapost nasoma kabisa ila leo sijasoma hata moja
Hivi hujui Kuna raha kukaa karibu na Mjukuu ukifundishwa namna ya kusoma magazeti 🤗Kwamba haujajua Magazeti ya mwaka jana [emoji1787][emoji1787] sijui hata nini nimevurugwa leo
Hivi hujui Kuna raha kukaa karibu na Mjukuu ukifundishwa namna ya kusoma magazeti [emoji847]