Hahahahaha hayupo wa kuchukua nafasi yako mengine kuchangamsha genge...Kweli namuonea huruma [emoji1787]
Hahahahaha hayupo wa kuchukua nafasi yako mengine kuchangamsha genge...
Sema kiukweliiiiii nimekumithiiiiiiiiiiiiiiii
Kweliiiii kweliiiHe he
Hujanimis kwani ?[emoji1787][emoji1787] Sawa bwanah
Hujanimis kwani ?
NipigieeeeeeeeeeeeeeEbu naomba hela basi nina majanga mazito nimekumiss pia
MakiwendoWapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...
Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...
Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..
Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...
Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...
reymageMakiwendo
Yaani niko busy nasindwa hata kushiriki vzr kumfariji na hapa ndo narudi dear nitulie kidogo
Weka MMU then tuweke mkeka kule italua vzr pia
Kanitaarifu ila nilishindwa hata kumpigia simu maana
Mungu awe mfariji wake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kipenzi Mahusiano kule ndo wanawaekagareymage
MMU naweka jukwaa gani Maa?
Maana kuweka thread hadi nishasahau...
Kama utaweza kuupeleka kule naomba ufanye hivyo Dear...Itakuwa njema sana...
Mungu na amtie nguvu sana Shunie wetu..
Habari nzito sana hii kwa member mwenzetu. Pole sana kwa ShunieWapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...
Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...
Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..
Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...
Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...
Mungu akawasimamie katika hiki kipindi kigumu, mbele yake nyuma yetu. Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un pole sana ShunieWapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...
Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...
Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..
Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...
Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...