Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
embu subiri kwanza nmpatr alafu ndo utajua nitamlisha niniUtamlisha nini huyu mtoto hata shamba la bamia huna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
embu subiri kwanza nmpatr alafu ndo utajua nitamlisha niniUtamlisha nini huyu mtoto hata shamba la bamia huna.
Usijidanganye mkuu,kama una pesa zako za urithi bora ukanunue shamba.do you love me Nahrene?
Wewe utanipa nini?Utamlisha nini huyu mtoto hata shamba la bamia huna.
[emoji15] yañi kwq jutihada zote hizi.. lakini bado hazijazaa matunda!!I love me [emoji87] Nyie piganeni huko mi nabaki single
mmmhh!!!?Wewe utanipa nini?
Nitakupa vitu adimu ambavyo huyu bwana mdogo anaviona kwenye runinga tu.Wewe utanipa nini?
Kama vipi hivyo?Nitakupa vitu adimu ambavyo huyu bwana mdogo anaviona kwenye runinga tu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji602] [emoji601] [emoji600] [emoji604] [emoji603]
sasa hizo hela za urithi ndo nataka kumpa yeyeUsijidanganye mkuu,kama una pesa zako za urithi bora ukanunue shamba.
Wewe tulia kwanza mambo mazuri hayataki haraka,ngoja kwanza huyu mtoto akalale.Kama vipi hivyo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe tulia kwanza mambo mazuri hayataki haraka,ngoja kwanza huyu mtoto akalale.
Nimekupa ushauri wa bure tu,kwasababu hizo pesa nitakuwa nazipiga mimi.sasa hizo hela za urithi ndo nataka kumpa yeye
aiseee, ngoja tuu niangalie zangu mpira..Wewe tulia kwanza mambo mazuri hayataki haraka,ngoja kwanza huyu mtoto akalale.
Natumai sasa mtoto umeamua kuja kwangu mazima.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha......Nimekupa ushauri wa bure tu,kwasababu hizo pesa nitakuwa nazipiga mimi.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole mkuu,labda usubiri nikimuacha.aiseee, ngoja tuu niangalie zangu mpira..
maana naona mpaka hapa maji yameshafika shingoni
poa aiseee[emoji27] [emoji27][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole mkuu,labda usubiri nikimuacha.
Cheeeeeers[emoji485]Cheers