[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji173] [emoji173] [emoji108] [emoji108] [emoji108] mpumzike kwa amani
Mnapumzika ama mnalalaTunatamani kuendelea ila ngoja tupumzike
Mna bana ila one day mtaachia....Unakomaa mpaka kieleweke
Siwezi, hii tu huwa nasahau passwordBasi ongeza zingine uwe nazo angalau tano kama mimi
Dah.Kupost mfululizo
Ndo mambo ya mujiniDah.
Naruhusiwa kuitafsiri? 😀[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji173] [emoji173] [emoji108] [emoji108] [emoji108] mpumzike kwa amani
Hili wazo nitalifanyia kaziAu utumie ule utaribu wa kubadilisha gia hewani kama mbowe alivyofanya ,tuwateke hawa wakongwe waje kwa makaupuku ,ni mwendo tu wa mabadilikoooo ,
HuhuhuMna bana ila one day mtaachia....
Wazo zuri mtufikirie kama wenzenu katika kupinga ubaguzi katika mitandao ya kijamii.Au utumie ule utaribu wa kubadilisha gia hewani kama mbowe alivyofanya ,tuwateke hawa wakongwe waje kwa makaupuku ,ni mwendo tu wa mabadilikoooo ,
Hahahahahaha kwenye device moja??Kupost mfululizo
Te te nipe simu niwe 'ninakulogia' inSiwezi, hii tu huwa nasahau password
Zote unaweka password moja kama mimi.Siwezi, hii tu huwa nasahau password
Nisubiri tuondoke wote.Daah..... Ngoja niondoke sasa, usiku mwema
Fanya haraka...... Usiku mwema kwenu nyoteNisubiri tuondoke wote.