UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Teh teh sawa ,ukianza kuwaza kwa mchozi pia usisite kunishtua ,chezea kibuti weweKilichonivutia ni usawa kwa wote. Huyo simzengei ila nilikua nawaza kwa sauti tu. Haahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh sawa ,ukianza kuwaza kwa mchozi pia usisite kunishtua ,chezea kibuti weweKilichonivutia ni usawa kwa wote. Huyo simzengei ila nilikua nawaza kwa sauti tu. Haahaa
KabisaTukeshe tu maana hakuna namna sasa
Kwa hapa hauwezi kabisaHivi jamani uchawi wa mshana hauwezi zuia hii kitu??
" you must wait at least 45 seconds before performing this action"
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Atafute ID mpya....Tatizo sio kuchat mwenzako anataka kuwachukua dada wa makapuku wakati wao ni wakongwe ,au mali za makapuku pia wakongwe wanaruhusiwa kuchukua ? Shikamoo MCC
Kwa bahati mbaya hukutimiza vigezo, hivyo karibu sana na uwe huru japo wewe sio kapuku ila kuwa huru kujumuika nasi kila mara unapojisikia kufanya hivyo, mko wengi tu kama Jonax wewe nkNishaomba usajili kwa makapuku mkuu.
Hii kitu inakera sanaHivi jamani uchawi wa mshana hauwezi zuia hii kitu??
" you must wait at least 45 seconds before performing this action"
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Tumia zile id's zako zote alternatinglyHivi jamani uchawi wa mshana hauwezi zuia hii kitu??
" you must wait at least 45 seconds before performing this action"
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Mimi nakusikiliza wewe tu,nipeleke unakotaka kama gari bovu.Usigombane na watu. We waache tu [emoji2] [emoji2]
Mahaba niteketezeMimi nakusikiliza wewe tu,nipeleke unakotaka kama gari bovu.
Ntaruka juu, asante sana kwa tahadhariPita tu mama kwa mbele kuna korongo angalia usivunjike bure
mshana jr yupoMbona watu wote wanalala...mnaniacha peke yangu nani atakuwa unaniwekea like
Sidhani kama hili linawezekana.Tumia zile id's zako zote alternatingly
Mi ndo kwanza kumekucha.....Mbona watu wote wanalala...mnaniacha peke yangu nani atakuwa unaniwekea like
Du! Nimekosa umemba basi nitakua shabikiKwa bahati mbaya hukutimiza vigezo, hivyo karibu sana na uwe huru japo wewe sio kapuku ila kuwa huru kujumuika nasi kila mara unapojisikia kufanya hivyo, mko wengi tu kama Jonax wewe nk
Mahaba nipofue[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mahaba niteketeze
Mnashida nyie mlioolewa....hamwezi kulala hadi waume zenu warudi[emoji125]Mi ndo kwanza kumekucha.....
Sasa tunafanyaje hapa ndugu yangu......Kwa hapa hauwezi kabisa
Kalale huko [emoji2]Mahaba nipofue[emoji3] [emoji3] [emoji3]