HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Asante... Panapo majaliwa kesho tenaLala salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante... Panapo majaliwa kesho tenaLala salama
Ni upendo tu. Kitu kizuri kula na nduguyoNaww tena
Cr7 katika ubora wake....
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Teh teh najua tu hata nikirest in peace now ,siku na wewe ukinifuata tutakua wote motoni ,unafikiri ni dhambi ndogo kidada kudate na kikongwe ?
Kila mtu yupo free kuchat....Heee hebu tutolee uchuro huku ,kapuku umejiunga 2012 ?? Acha aibu bana Mkongwe si uwe huru tu useme mwenyewe unatamani kuwa kapuku ?
Huyu mtoto atafanya nigombane na watu.Mwingine huyu tena.. Youngblood na wenzako kazi mnayo
Tukeshe tu maana hakuna namna sasaMkuu mimi leo silali.
Teh teh una wivu wewe nimeuliza tu jamaniMwingine huyu tena.. Youngblood na wenzako kazi mnayo
Pita tu. Njia iko wazi [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Napita tu hapa jamani sijui kuna njiaa
Kilichonivutia ni usawa kwa wote. Huyo simzengei ila nilikua nawaza kwa sauti tu. HaahaaTeh teh Mkongwe ni nini kimekuvutia kuwa kapuku ?? Nilipitwa na usajili wako,halafu huyo unayetaka kumzengea ni mali ya mkongwe mwenzako
Leo timu yangu imeshinda[emoji341] [emoji341] [emoji341] [emoji341] [emoji341] [emoji341] [emoji341]![]()
![]()
Full time
....................
Pita tu mama kwa mbele kuna korongo angalia usivunjike bure[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Napita tu hapa jamani sijui kuna njiaa
Makavu live[emoji4] [emoji4] [emoji4]Heee hebu tutolee uchuro huku ,kapuku umejiunga 2012 ?? Acha aibu bana Mkongwe si uwe huru tu useme mwenyewe unatamani kuwa kapuku ?
Usigombane na watu. We waache tu [emoji2] [emoji2]Huyu mtoto atafanya nigombane na watu.
Tatizo sio kuchat mwenzako anataka kuwachukua dada wa makapuku wakati wao ni wakongwe ,au mali za makapuku pia wakongwe wanaruhusiwa kuchukua ? Shikamoo MCCKila mtu yupo free kuchat....
............................
Karibu mkuunaona bado mnalisongesha tu dah sisemi