Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Leo utatumia ungo kwenye safari zako za kikazi au fimbo??Naenda session kuna eneo kuna shida kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo utatumia ungo kwenye safari zako za kikazi au fimbo??Naenda session kuna eneo kuna shida kidogo
[emoji23] [emoji23] Nilikuwa natafsiri tuHaha asante mama ,unamaanisha mimi ni rest in peace au umesaidia kutoa maana kwa kirengesa ??
[emoji23] [emoji23] ravu yuuUlale salama, kwa Amani [emoji87] [emoji87]
Labda Ndugu Mshana amsaidie kwenye yale mambo yake walau ageuze Actros kuwa kobe mnyama ndoto za Ibra zitakua zimetimia ,vinginevyo namwonea hurumaNi yeye ndo anaetakiwa kununua Actros na model ni ile ya kwenye picha, amezidi kulia kulia sasa huu ni wakati muafaka kwa yeye kuonyesha uwezo[emoji2] [emoji2] [emoji2]
UchovuMbona mapema??
Leo ni wireless kwakuwa nataka nifike Noorkoping. ..Leo utatumia ungo kwenye safari zako za kikazi au fimbo??
Cheers [emoji2] [emoji2] [emoji483][emoji23] [emoji23] ravu yuuView attachment 337282
Haha afadhali nilifikiria umeamua kulipiza kisa nimekuchokoza na mkongwe wako[emoji23] [emoji23] Nilikuwa natafsiri tu
Umeanza tena. Basi rest in peace kiukweliHaha afadhali nilifikiria umeamua kulipiza kisa nimekuchokoza na mkongwe wako
Pumzi fupi.Jamani wakukesha kesheni. G9t
We si umeaga jamani?? Mbona bado upo??[emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Teh teh najua tu hata nikirest in peace now ,siku na wewe ukinifuata tutakua wote motoni ,unafikiri ni dhambi ndogo kidada kudate na kikongwe ?Umeanza tena. Basi rest in peace kiukweli
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ni kweli unaamnisha alale salama ,tatizo linakuja ukilimuvuzisha kwendwa kwenye Kirengesa
Waoga utawajua tu[emoji2] [emoji2] [emoji2]Subiria zamu yako ifike... Rip sio kazi ndogo mkuu.. Ukinambia ivyo usingizi unakata
Mkuu mimi leo silali.Leo unalala saa hizi????
Sawa tu Uncle, leo umeniamulia. Acha nikubali matokeo, maneno yangu nayarudisha [emoji5]Teh teh najua tu hata nikirest in peace now ,siku na wewe ukinifuata tutakua wote motoni ,unafikiri ni dhambi ndogo kidada kudate na kikongwe ?
Heee hebu tutolee uchuro huku ,kapuku umejiunga 2012 ?? Acha aibu bana Mkongwe si uwe huru tu useme mwenyewe unatamani kuwa kapuku ?Makapuku tunatishaaaaa majukwaa mengine watatuelewa tu umoja ni nguvu ila du! Sijapata kimwana wa kumalizia nae masaa yaliyobaki ngoja nimsogeze jirani my dear bottle.