Tulikuwa kwenye bustani nzuri ya maua mimi na baby wangu huku tunakimbizana naHaya, nijulishe umeota ndoto gani?
Raha sanaKweli ukubwa raha sana.
Goodmorning to youMakapuku tunatisha wengine wanajikongoja..
Goodmorning
Mimi sijamboMakapuku hamujambo? Muwe na siku njema.
Nawe pia mkuu GITWAMakapuku hamujambo? Muwe na siku njema.
Goodmorning [emoji477]Makapuku tunatisha wengine wanajikongoja..
Goodmorning
[emoji2] [emoji2] [emoji2] SawaTulikuwa kwenye bustani nzuri ya maua mimi na baby wangu huku tunakimbizana na
Raha sana
Basi sawa[emoji2] [emoji2] [emoji2] Sawa
Sijambo kapukuMakapuku hamujambo? Muwe na siku njema.
Pole mama.Haaaash!!!!! Kidole kinauma kutoa like page zote hizo mtaniua
Jitahidi tuHaaaash!!!!! Kidole kinauma kutoa like page zote hizo mtaniua
Asante babaanguPole mama.
Sawa mamitoJitahidi tu
Mzima lakini?Sawa mamito
Sawa mamito
Mimi mzima mamy hofu kwako dear .Mzima lakini?
Mi mzima. ArushaMimi mzima mamy hofu kwako dear .
Upo mkoa gani vile dear?
Tupo tupo kabisa jeuri ya chama....Wakuu mko poa?