Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,553
Soma post # 3Bitoz na mimi nianzishie thread yangu basiii hehehe uwe unaniita ita
List ni pambo tu....
Kila mtu yupo free kuchat
Karibu
................................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma post # 3Bitoz na mimi nianzishie thread yangu basiii hehehe uwe unaniita ita
Rafiki yetu cute b aibuka tena kutoka mafichoni!Mimi mzima mamy hofu kwako dear .
Upo mkoa gani vile dear?
Mimi pia wa nyumbani.[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kumbe wa nyumbani.
Cc sumbai
Aisee wewe mtoto kumbe uko jirani kabisa dah!.Mi mzima. Arusha
Mimi nipo hapa kila siku mkuu... nimeelew hiyo avatar yako tuRafiki yetu cute b aibuka tena kutoka mafichoni!
GuuuuuuuuuuuuuuuuuuuudaMimi pia wa nyumbani.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Alijificha mwenyewe au alifichwa?Rafiki yetu cute b aibuka tena kutoka mafichoni!
Kwanini hukusema? [emoji19] [emoji19]Mimi pia wa nyumbani.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Toka saa nyingi tu nimeamka napiga zangu mwendo taratiibuHaya good morning all kapuku....
Amkeni tukalijenge taifaaa.....
Rollcall ya Leo...
Th Name
Bitoz
Jimena
youngblood
amazing
cute b
ibra87
deokimaro
punje haradari
@thamoo
HULILO
sizzya007
Nahrene
UncleBen
Mganga mshana jr
jonax
sammoo
GITWA
eden kimario
HOPECOMFORT
Bila kumsahau shemeji lizzybete
Hahaha.Kwanini hukusema? [emoji19] [emoji19]
Vipi na wewe una kila kile cha huko kwenu...alimaarufu kama cha arusha!Mi mzima. Arusha
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahaha.
Vya Arusha vipo vingi. Unaongelea kipi? [emoji2] [emoji2] [emoji2]Vipi na wewe una kila kile cha huko kwenu...alimaarufu kama cha arusha!
Msianze kutafutana mtapunguza pages hapo...endeleeni kuwasiliana hapa hapaAisee wewe mtoto kumbe uko jirani kabisa dah!.
Rafiki unakuwa adimu sana hadi unatupa mashaka!...... Ki ukweli mara nyingi unakuwa mafichoni!Mimi nipo hapa kila siku mkuu... nimeelew hiyo avatar yako tu
Kilicho almaarufu kuzidi vyotee...Vya Arusha vipo vingi. Unaongelea kipi? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Cute b umeamkaje bibieMakapuku tunatisha wengine wanajikongoja..
Goodmorning
Malizia sasa uniambie [emoji2]Kilicho almaarufu kuzidi vyotee...