Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Haya!.......Nafanya kazi NMB MKUU si unajua folen yake?
Cc Th Name
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya!.......Nafanya kazi NMB MKUU si unajua folen yake?
Cc Th Name
Leo ni birthday ya nani nim wish?Nimetoa mwongozo kuepusha manenomaneno....nimeongeza kwenye post # 3 kwamba HAPA ni udaku,mapenzi,swaga,birthday,elimu,jokes,funny,michezo,news,politic,ushauri na kila kitu kuhusu life
MTU akizingua mwambieni akasome mwongozo kule post # 3
.............................................
Hakuna......mtu si angeshasemaRaisi kasema hivi;
Leo ni birthday ya nani nim wish?
Basi ndo ulie tuusinifanye kitega uchumi mwana wa mwenzio
Hili swali lizingatiwe jamani, na majibu tupewe piasijaelewa kwani Arusha kuna kasehemu unadownload App ya hela ama mtujuze aisee wengine tuko jotoni huku......
Nipo mwalimu[emoji2] [emoji2] [emoji2]Nipo jana leo na kesho
Wazimaaa kabisaa mkuuSalaam kwenu nyote waungwana, ni matumaini mpo wazima! ...
Rais kasemaNimetoa mwongozo kuepusha manenomaneno....nimeongeza kwenye post # 3 kwamba HAPA ni udaku,mapenzi,swaga,birthday,elimu,jokes,funny,michezo,news,politic,ushauri na kila kitu kuhusu life
MTU akizingua mwambieni akasome mwongozo kule post # 3
.............................................
Good morningHana shida. Nenda kwa upole mwambie kaka naomba uniletee hiyo juice hapo juu. Atakupa bila matatizo [emoji38]
Salaam kwenu nyote waungwana, ni matumaini mpo wazima! ...
Nimekuona kule kwenye list.......... Hongera sana mkuuHabari zenu wana KAPUKU FAMILY!
Kumbe watu wakilala pamoja pia huwa wanakuja kusalimiana jamvini??Morning sweet
Za kuamka my love?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] ndio, tunadumisha penz letuKumbe watu wakilala pamoja pia huwa wanakuja kusalimiana jamvini??
Makapuku hatutoki na wakongwe..... Hivyo wala usipoteze muda wakoDa....mwaka huu lazima nioe huku kurushwa roho sasa kumezidi
Tutaomba poo safari hii, maana sio kwa mahaba ya lizziebettie na Th NameHeheheeee... Saweni bana
Usipotee tena basiKupotea huku kumenifanya nipoteze like zangu.
[emoji134] [emoji134] [emoji134]