Akanunue kwanza Actros basisumbai ni mwenzio au mpenzio?
Mnatunyanyapaa siyo...Makapuku hatutoki na wakongwe..... Hivyo wala usipoteze muda wako
Too late mkuu, labda uende kule MMU kwa hapa sio rahisi, maana hata fair play za huku hazihusishi wakongwe[emoji2] [emoji2] [emoji2]Du kwa hiyo viwanja vyote humu vina title deed[emoji125]
Tamlipiaaa.....mwenyeweMorning...asante ongeza sambusa 5
Hahahaha basi sawa.Usimpe moyo, nafasi zimejaa ye aende tu kwa wakongwe wenzie au aje na id mpya
Huyu mzee hataweza,amebobea sana kwenye kitivo cha chuma ulete.Hivi uchawi wako hauna uwezo wa kudhibiti hii kitu[emoji116] [emoji116]
"You must wait atleast 45 seconds before performing this action"
Cc mshana jr [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Mmmh...huu ukongwe huu...ngoja nisajiri account nyingine nirudiToo late mkuu, labda uende kule MMU kwa hapa sio rahisi, maana hata fair play za huku hazihusishi wakongwe[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kwani unaelekea wapi???Sijui nitafika kweli?
Maumivu yakizidi amuone daktariKunywa panadol
Mwambie wifi yako. Kuwa mapenzi kikohozi kulificha hatuwezi sisi ndo maana mpaka huku full malavidavi[emoji38] [emoji38] [emoji38] ndio, tunadumisha penz letu
Jimena kumbe upo!!Kwani unaelekea wapi???
Uza ununue gari jipya,Ngoja nijaribu kuianza safari upya maana gari yangu imeharibika na bado niko njiani.
Utasubiri sana shauri yako.Shaona ila mdomo mzito kutamka
Sijui nitafika kweli?