sammoo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 701
- 1,604
ata wakijimama haisaidii makapuku tusha takeover [emoji1] [emoji2]Watajibaba, mdharau mwiba mguu........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ata wakijimama haisaidii makapuku tusha takeover [emoji1] [emoji2]Watajibaba, mdharau mwiba mguu........
Mpaka sasa thread 4 za juu zote ni zetu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ni thread ya chair/fix hivyo mvuto utachuja km BIG G...wakichoka wataenda kunywa mbege kilabuni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
...............................................
Kama hivi 7×70Mungu amesema samehe saba mara sabini.
Nimekunyima hiyo [emoji135] [emoji135]Gonga like basi kama umenisamehe.
Kwani kweli au?Mkuu,mbona unasema watu.
Wapo waliokula vibuti ila siyo mimi.Kwani kweli au?
HahahahaWapo waliokula vibuti ila siyo mimi.
Wewe mtoto jinsi unavyo nisumbua angekuwa Th Name alishajinyonga zamani.Nimekunyima hiyo [emoji135] [emoji135]
Kama nasoma tuition vileUna akili........
.................
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kama hivi 7×70
Poa mkuuMakapuku baadae
unapenda ligi kweli kweli ngoja nimshauri wenger akusajili utampa vikombe [emoji23] [emoji23]Mpaka sasa thread 4 za juu zote ni zetu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Nimeenda kuweka fitna kidogo
Binadamu wabaya sanaunapenda ligi kweli kweli ngoja nimshauri wenger akusajili utampa vikombe [emoji23] [emoji23]
Wenger??? Mi nna allergy na jina lake la kwanzaunapenda ligi kweli kweli ngoja nimshauri wenger akusajili utampa vikombe [emoji23] [emoji23]
Kweli mmetoka mbali kwanzia Uzi unaanza mpaka saivi kb 4Kumbuka basi tulikotoka jamani.
Hahaha sawa kiongozi.siku ukiandika kitu usikose kunia andika yaani sijawahi kutajwa kwenye thread yoyote ile kapuku mimi.[emoji12] [emoji12] [emoji12]Soma post # 3
List ni pambo tu....
Kila mtu yupo free kuchat
Karibu
................................
Nawe uwe unataja watu ili nao wakukumbukeHahaha sawa kiongozi.siku ukiandika kitu usikose kunia andika yaani sijawahi kutajwa kwenye thread yoyote ile kapuku mimi.[emoji12] [emoji12] [emoji12]