Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Huyu mtoto anasahau mapema sana.Kweli mmetoka mbali kwanzia Uzi unaanza mpaka saivi kb 4
Kwahiyo we unafurahia wanavyojaribu kuturudisha chini???Binadamu wabaya sana
Enheeee kama hivi leo nitaotaa hahahaKama hivi Kibajajitz
Hahaha,utafurahiaje ugonjwa!Kwahiyo we unafurahia wanavyojaribu kuturudisha chini???
Mie nikiwaita wananichunia eti hawanijui kwa sura hahahaha wananijua kwa keyboard tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nawe uwe unataja watu ili nao wakukumbuke
Utazoe tu.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Enheeee kama hivi leo nitaotaa hahaha
Inawezekana kuna mahali unakosea wenzako wanakuzidi... Ebu jichunguzeHuyu mtoto anasahau mapema sana.
Kweli kabisa.Inawezekana kuna mahali unakosea wenzako wanakuzidi... Ebu jichunguze
Shida sio wewe ni bajaji.... Ebu change jina uoneMie nikiwaita wananichunia eti hawanijui kwa sura hahahaha wananijua kwa keyboard tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mbona sisi hayujuani kwa sura lakini tunaheshimiana?? PoleMie nikiwaita wananichunia eti hawanijui kwa sura hahahaha wananijua kwa keyboard tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwenye kuhongo sina uhakika... Nakuona kama manati vile?... Au nakosea mkuuKweli kabisa.
Au kwasababu nahonga sana.[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sasa ndio kwa pamoja tuhakikishe tunainuka tu, maana hamna namna sasaHahaha,utafurahiaje ugonjwa!
Mkuu sijakuelewaKwenye kuhongo sina uhakika... Nakuona kama manati vile?... Au nakosea mkuu
Sawa mkuu,we can do it.Sasa ndio kwa pamoja tuhakikishe tunainuka tu, maana hamna namna sasa
Bahili.... Autoi ushirikiano.. Upo hapoMkuu sijakuelewa
Mbaya zaidi hapa jina huwezi kubadilisha.Shida sio wewe ni bajaji.... Ebu change jina uone
Mfundishe huyoInawezekana kuna mahali unakosea wenzako wanakuzidi... Ebu jichunguze
Chupi zimefanyeje tena.