Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Zitafika mkuu kikubwa tupeane support kama makapuku.kweli kwa harakati hizi.. NAONA KABISA HATA ZILE NDOTO ZA KUFIKIA LIKE 10000 KWA MIEZI 6 TU UNAKARIBIA
Taratibu tu utaelewa..mi pia nilikuwa sielewi ila naona kama naanza kuelewa sasaKwani vp humu ndani mie sielewi hata nielewesheni kidogo tu wajameni
Nakufollow backMkuu nimekufollow
yani hapa tukipeana like za kutosha utasikia ile "nyuma geuka"Zitafika mkuu kikubwa tupeane support kama makapuku.
Mkuu ulikuwa huelewi niniTaratibu tu utaelewa..mi pia nilikuwa sielewi ila naona kama naanza kuelewa sasa
Bitoz alikuwa analipigania sijui amefikia wap,kama vp aje atupe mrejesho!Lianzishwe jukwaa la makapuku
Tulishawasilisha ombi kule Members only "unapenda jukwaa gani liongezwe?"Lianzishwe jukwaa la makapuku
Poa mkuuNakufollow back
Pamoja kapuku mwenzangu. Tutatoka tuu[emoji2] [emoji111]Yes, I am.
Kasome post #3.....kigezo kikuu aliyejoin jf from 2014 ...Momiee cute b nawe upo ktk kundi hili
Labda pengine sielewi maana ya makapuku. Lakini mi nadhani linadhalilisha hivi.. Sorry si kwaajili ya kuvuruga mipango yenu. Lakini momiee cute b namfahu kwa fikra zangu nilidhani hastahili kuwemo hapakutokana na rasimu ya katiba niliyoisoma hapo juu.
Anyway habari za siku nyingi cute b, come plz pande hii i want to hear your beautifull voice.
BACK TANGANYIKA