Makapuku Forum

Momiee cute b nawe upo ktk kundi hili

Labda pengine sielewi maana ya makapuku. Lakini mi nadhani linadhalilisha hivi.. Sorry si kwaajili ya kuvuruga mipango yenu. Lakini momiee cute b namfahu kwa fikra zangu nilidhani hastahili kuwemo hapakutokana na rasimu ya katiba niliyoisoma hapo juu.

Anyway habari za siku nyingi cute b, come plz pande hii i want to hear your beautifull voice.

BACK TANGANYIKA
 
Kasome post #3.....kigezo kikuu aliyejoin jf from 2014 ...
Kabla ya vigezo vingine

But usipokuwa kwenye list haikuzuii kuwa pamoja nasi
One love
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…