kuanzia leo nakutema rasmi.. Yanga ya kazi gani?Wenger??? Mi nna allergy na jina lake la kwanza
Team Real Madrid
Team Manchester United
Team Luleå Hockey
Team Yanga
Nimemalizaaaaaaaaaa[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Pouwa kiongozii sumbaiBajaji mambo aje ajeer
Aaah hilo limekaa kikekike sanaa.mwishowe nitajiita @cuteb bureeKwani mkuu hujawahi kuona midoli ya kiume?
Basi jiite mdoli dume
Unaona sasa nyie watu wa Dar....astaghaflahMidoli ipo me na ke
Oooooooooooooooooopskuanzia leo nakutema rasmi.. Yanga ya kazi gani?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] mie sio wa DarslumUnaona sasa nyie watu wa Dar....astaghaflah
Ngoja nitafute First lady coz mshaanza uchokozi
.............................
Unaona sasa nyie watu wa Dar....astaghaflah
Kama hivi unawasikia wana midoli majumbani mwao...hasa chumbani[emoji42]Watu wa dar hivi utawatambuaje..!
Kweli kabisa??? Sasa ndio mnianzishie uzi sio kila siku wao tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Jimena umetisha...! Hii haijawahi kutokea JF! LIKES kuzidi Posts...hii ni record ya kipekee HONGERA SANA
Taja tuone kama kweli tutashtuka.......huna lolote, sema roho inakudunda hapo.. nikimtaja jina huyo mremboJf wote mtaandamana kwa kapuku miye kumiliki mrembo mwenye makeke kule MMU