lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,965
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unapiga tu kiberiti.
Nitakimbia mama.
Utapoteza likes zako na friends ukibadili IDKifaru nitajiitaa
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] umenichekesha sanaHapo unapiga tu kiberiti.
JimenaHumu kwa kutoa like tuu shikamooni.
Nani yule mlinzi wa like anilindie na zanguu? Maana wakongwe wanazimendea.
Sasa ngoja nianze kugawa like
Unakipaka wevu tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Nitakimbia mama.
Au nitamfikiria kwa kweli maana bora zingekuwa laini hicho ni kipilipili
Jiite JogooDaaaah mkuu mdori tena wakati mimi ni jinsia ya kiume!!!!
Tanks manPole na mihangaiko mkuu.
Karibu tenaTanks man
Kilicho mfanya ajiite bajaji ni nini?Jiite Jogoo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.........................
Umenikumbusha mbali..Au nijiite kidumee
Kamata moko hiyoHapa nikija hadi kuondoka nina uhakika wa like 50
Sema 200Hapa nikija hadi kuondoka nina uhakika wa like 50
Poa mkuu.Habari za mchana wandugu!!
Jana nilitoa tangazo la kutafuta lorries. Nimefanikiwa kuyapata.
Mbarikiwe sana.
Asante na wew hiyoooKamata moko hiyo
Naamini jana hujaniotaHapa nikija hadi kuondoka nina uhakika wa like 50