Kile kithread nilikuwa MMU sasa wametengeneza fitina ndo wamekileta huku chit chat kwa Citys Guys ili wapunguze speed ya MakapukuWife wako mzurii, namsikiliza sumbai amenikataza katu katu kuwa nisimtaje
Sasa hivi tutafanya hivi...... Mtu akiweka uzi sehemu unatuambia kisha wote tunahamia huko huko mpaka waone aibu kutufitiniKile kithread nilikuwa MMU sasa wametengeneza fitina ndo wamekileta huku chit chat kwa Citys Guys ili wapunguze speed ya Makapuku
Hata views ni za uongo tu
Mods noma sana
................................
Nimekuja coz kuna battle na majirani zetu
Nani tena imekuwajeNimekuja coz kuna battle na majirani zetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.............................
Umenena vizuri sana mkuu.Sasa hivi tutafanya hivi...... Mtu akiweka uzi sehemu unatuambia kisha wote tunahamia huko huko mpaka waone aibu kutufitini
Majirani hawana nguvu tena.Nimekuja coz kuna battle na majirani zetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.............................
Kweli kabisa??? Sasa ndio mnianzishie uzi sio kila siku wao tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Basi nami nichukue nafasi kuwashukuru wote mliosababisha.... Asanteni sana sana
Cheki kathread hapo Chit Chat ni cha fix ya mapenzi kilikuwa MMU kimehamishiwa huku na views za kutunga ili kupunguza spidi yetu ni fitina za wakongwe/mastaa wamejaa hukoNani tena imekuwaje
Mkuu naona umerudi.Cc:sizzya
Sasa hivi tutafanya hivi...... Mtu akiweka uzi sehemu unatuambia kisha wote tunahamia huko huko mpaka waone aibu kutufitini
Pua kwa puaHasaa jicho kwa jichoo
Mkuu nimejuona nyumba ya jirani ulikuwa unawapa nguvusimtaji ng'o na kama una hasira nenda kajiue.... Hawa wakongwe hawatuwezi hata wafanyaje.. Tutapigana kwa udi na uvumba na kamwe hawatatufikia.. Lakini i can't stop loving you Jimena
Wakongwe wana mbinu za zamani sana.Cheki kathread hapo Chit Chat ni cha fix ya mapenzi kilikuwa MMU kimehamishiwa huku na views za kutunga ili kupunguza spidi yetu ni fitina za wakongwe/mastaa wamejaa huko
.........................
Loh yamekuwa hayo[emoji12] [emoji12] yani unajaribu kutikisha kiberiti wakati unajua kiko full??simtaji ng'o na kama una hasira nenda kajiue.... Hawa wakongwe hawatuwezi hata wafanyaje.. Tutapigana kwa udi na uvumba na kamwe hawatatufikia.. Lakini i can't stop loving you Jimena
Wakongwe wana mbinu za zamani sana.
Wanajaribu kujificha kwenye shamba la mchicha wasionekane.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Atakuwa anafujuzia kamchepuko ibra87 kwa faulo utamuweza?????
Huyu ni kama ibra87
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
...............................