Kumuignore mtu is the BEST ANSWER....Kumjibu ni kumpa 7bu ya kuendeleza ligiHuyu anatafuta watu waongee.
Tumsamehe bure tu.. Atakua ametenda kabla ya kufikiri
Haahahahahahahaaa,ming'oko ni chakula/kiburudisho aina ya mizizi miembamba kiasi na inapatikana sana maeneo ya Mtwara na Lindi. Jina la kiswahili fasaha sifahamu.Nimeelewa tu mihogo hapo.. Ming'oko umeniacha.. Ila asante sana.. Jioni tena tafadhali usini sahau
ha haaa ha ha aaaha ATLETICO HATAKAA AISAHAU SIKU YA LEO
VIVA BARCELONA
Mkifungwa pia mrudi humuVIVA BARCELONA
TUTAKUJA HUMU japo hatuwezi kufungwaMkifungwa pia mrudi humu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
...................
Poa Nabashalona baadae basi
TUTAKUJA HUMU japo hatuwezi kufungwa
Mkifungwa pia mrudi humu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
...................
Hili jibu limenichekesha sanaaaKwahyo mkuu unataka hiyo sayari tukaikamate ama vipi.
Sana yaniiWatu wengine wanaboa sana.
Anatafuta sifa tu,Huyu kaingilia mlango upi tena jamani!!!?!?
Ndoto za mchana mbaya sanaaaAu labda alikua anaota ndoto gafla akaingia huku
Basi sawaaaaaaaaaaaNapita tu [emoji124] [emoji124] Hizo likes ntagawa nikirudi
Nisubiri[emoji125] [emoji125]Napita tu [emoji124] [emoji124] Hizo likes ntagawa nikirudi
sawa bhanaIla mkuu usilete UJECHA tu!