damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Haswaa, mchezo ulio tukuka! Na hauna madhara[emoji2] [emoji111]kama kawa.. thumbz up meeen, ni mwendo wa kucomment na kulike tu
Kapuku mwenyeji... Asante mkuuWewe bado ni kapuku ndugu, karibu kwenye familia yetu, gonga like, pata like , tukutoe kwenye 120 zako upate like nyingi zaidi. Tumia fursa
hii tunasema "comment upate like 5 za faster"Haswaa, mchezo ulio tukuka! Na hauna madhara[emoji2] [emoji111]
Kasome post #3.....kigezo kikuu aliyejoin jf from 2014 ...
Kabla ya vigezo vingine
But usipokuwa kwenye list haikuzuii kuwa pamoja nasi
One love
Long story my dear.Niko poa sana mkuu...
Nilikuwa napitapita tu kupunguza stress kidogo, Maana nimezurura ma jukwaa yako yote sijakuona kuanzia kule celeb mpaka sport kote hata harufu sisikii..! kilikupa nini my?
Anyway naona hapa nimechomeka gia no 1 ilhali watu wako spidi (kiharakati zaidi) ntakutafuta baadaye momiee.
BACK TANGANYIKA
Sawa mkuu ngoja nione mpambano wenu mpaka mwisho wa mwaka nadhani Bitoz na @Thname wataleta mrejeshoJukwaa lolote lile tukiamua
Nenda jukwaa LA mitindo utanikuta.....Labda kwa jukwaa hili
Karibu sana nyumbani kwetu, uwanja wetu wa kujidai[emoji2] [emoji111]Kapuku mwenyeji... Asante mkuu
Mkuu nimekutania tu,unajua sisi makapuku hatuna makuu!,wewe gonga likes utapata likes!Hahahahaaaa.. Nikaribishe basi niondoke na kitu hapa
Sawa mkuuNenda jukwaa LA mitindo utanikuta.....
Nenda MMU Nina thread 1 tu matata...nazsubiri Uzi huu upoe nitatupia kingine
Nenda Jf photos pia nipo
Hapa Chit chat je?
Kapuku mm kitambo nilifaamu tu karibu hiyo ilikuaMkuu nimekutania tu,unajua sisi makapuku hatuna makuu!,wewe gonga likes utapata likes!
.hapa hata mtu akicoment NUKTA tuu, lazima apate like yangu kwa ukal....
Na kwanini usipewe, labda uwe ume install software ya anti-like[emoji2]hapa hata mtu akicoment NUKTA tuu, lazima apate like yangu kwa ukal....
Kwa raha zetuTunawakilisha.ππππ