Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Duuuh, mbona balaa tenaMsimu wa makafara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh, mbona balaa tenaMsimu wa makafara
Nani huyo tena?Jamaa kapagawa
Itabidi iundwe tume ya kuchunguza hii hali kwanini imetokea hivyo.Na mimi nimekosa wa kunipenda humu JF😳😳😳😳
Dooh!! Life haliko fair
Mahaba niue, uniponde ponde kama nyanya.When I close my eyes,
I see your face.
Uzuri wako I can't compare,
Mapenzi ya kweli kweli ndo unanipa wewe
Cc lizziebettie
we komaaa, Nahrene ni wanguNahrene😳
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]Mahaba niue, uniponde ponde kama nyanya.
mpaka nikose cha kufanya
Huku ndo nyumbani kwetu mkuunatokea kwenye Jamii ila sipatikani Jamii Forum.
ila napatikana hapa Jamii Makapuku.
Joff pub pana mademu wazuri[emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kiwanja kipi kiko poa zaidi
Utalia mkuu,mapenzi mabaya.Kivipi?
Atupe jibu.
we komaaa, Nahrene ni wangu
Aisee wewe nitakugeuza kuku.Nahrene wangu where are?
[emoji15] aiseeeeh!!...
Angalao kule wanakoshindania uzuri wa miji kati ya tanzania na kenya angalao coments zimefika 200 ila huko kwingine ni majangaHuko kwingine labda tukutume wewe ukapachungulie kisha ulete majibu.
naipenda Jamii Makapuku kuliko Jamii forumHuku ndo nyumbani kwetu mkuu
Wote wawili mnadanganyana tu. Nahrene ananipenda mimi.we komaaa, Nahrene ni wangu
Nawe umekuja huku aggyjay karibu ndani ya makapuku forumanatafuta nini kwani???
Mie nahitaji sweaty.Nahitaji baby asee😡😡😡