asalaam alyekum sumbaiHa Haaaa..... Wacha weeee...
Ni heri tuu kaka....asalaam alyekum sumbai
Ha haa.... Haya mkuu. Mimi ni the three lions....Tuko vizuri sumbai mpaka tunafuzu euro 2016 hatujapoteza mchezo hata zile za kirafiki
Na naamini hakuna timu ya kutusumbua euro mwezi wa 6
KaribuNilikuwepo tangu huu uzi unaanza. Nimerudi tena
Mkuu niko fresh kabisa mungu ni mwema.Hujambo... Kijana
Aisee wewe kila mwanamke unamtaka.nakupenda
[emoji3] [emoji3] [emoji3] itakuwa poa sana ili wengine tupumzike.Tupo...kama kawa kama dawa...nimeomba likizo kazini ili nilisongeshe le kapukuz!
Ndio ujuee sasa kuna makapuku wakongwe.... Teh. Teh.....
Ha Haaaa....aaah natafuta mke wa tatu hapa.. nataka nimpandie pipa Jimena
Wapi kipenzi changu Nahrene
Ila mna habari kuwa huu mchezo ni ibada za kuzimu? [emoji15] [emoji22] [emoji26] [emoji144]Tuko vizuri sumbai mpaka tunafuzu euro 2016 hatujapoteza mchezo hata zile za kirafiki
Na naamini hakuna timu ya kutusumbua euro mwezi wa 6
Morning ,nilikumisisi sana.Goodmorning
[emoji5] Mzima?Morning ,nilikumisisi sana.