Ogea maji ya baharini tu mkuuu, kutwa mara 3 kwa muda wa siku 365-366Duuu mbona sina bahati ya kuitwa hvyo na warembo kamaa nyie
sawa nakwenda na sirudi hapa tenaKwenda huko [emoji87] [emoji87]
Kumbe mmeshaamka[emoji4]Hahahaha sijui Leo kama atatokea hapa hahahahah
Mwanaumee wa baraa wap na bahari labda ya mtoniiOgea maji ya baharini tu mkuuu, kutwa mara 3 kwa muda wa siku 365-366
Utarudi tusawa nakwenda na sirudi hapa tena
Nakuona Ex ukiwa lindonioooh Mungu fanya wepesi nimiliki huyu mrembo
Yanga aka Mafuriko Fcniombe radhi mkuu, hakuna timu nisioipenda duniani kama MAN U na Wafuga kambale Wa Kariakoo a.k.a vyura.. YANGA MBELEKO FC
nenda kapige mbizi ziwa nyasaMwanaumee wa baraa wap na bahari labda ya mtonii
Morning dia kapukuGood morning dear friends makapukuuu.....
Mkuu nipe ulimbo ni wanasee biashara ya maji ya mito maziwa na bahari nawaachia samakinenda kapige mbizi ziwa nyasa
bila kadi nyekundu timu haishindi...TAKUKURU MULIKA LIGI KUU YA VPL KUNA NAMNAYanga aka Mafuriko Fc
Poa sanaaaaaaa[emoji12] [emoji12]Wakuu mko poa!?
Sio vizuri kumwambia mwanaume hivyo siku zote mwanaume ni mwenyeji ujueKwenda huko [emoji87] [emoji87]
Alaf wale mashabiki wake wanaongea huku timu yao kimeobila kadi nyekundu timu haishindi...TAKUKURU MULIKA LIGI KUU YA VPL KUNA NAMNA
Haya. Kwahiyo na wewe nikuambie nini?Sio vizuri kumwambia mwanaume hivyo siku zote mwanaume ni mwenyeji ujue
Hujambo...kijanaMakapuku!!!????
Umeanza sasa[emoji134]Ila mna habari kuwa huu mchezo ni ibada za kuzimu? [emoji15] [emoji22] [emoji26] [emoji144]
Usisahau kuni-tag la sivyo nitabadili ID[emoji13]Nilishawahi kuweka post hapa JF lakini haikudumu ikaondolewa nitaileta kivingine msijali