shaban lee
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 310
- 924
Hadi hapaa tushawawekaa mtu kati mbelee hawaend nyumaa hawarudiiiHawa jamaa wakitaka vita na sisi wajipange,maana wataumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi hapaa tushawawekaa mtu kati mbelee hawaend nyumaa hawarudiiiHawa jamaa wakitaka vita na sisi wajipange,maana wataumia
Kama vp tuanze kuwakandiaSisi ndio tunaowapaisha kwa kuwatajataja ...kulikelike + kuzungusha thread zao
Watake wasitakeee siee tunasongaa mbelee mkuu"sisi ndo MAKAPUKU tuliokubuhu"
~Jonax
Kuanzia leo hamna tena kuwashobokeaAfu hawa majamaa tunawapa umaarufu mavi alafu heshima zetu hawatupi, sasa tunajipa heshima wenyewe kwa wenyewe
Nw ni mwendoo wa mchunoo tu hd waelewee siee tunaumuhim gan humuuu ndanSisi ndio tunaowapaisha kwa kuwatajataja ...kulikelike + kuzungusha thread zao
kama kinawauma sana wale Mavi ili tuone ukauzu waoWatake wasitakeee siee tunasongaa mbelee mkuu
BIG NOKama vp tuanze kuwakandia
Alafii wanapitaa juu kwa juu kwa wivu wao wa kijingaakama kinawauma sana wale Mavi ili tuone ukauzu wao
Hawa jamaa wanadharau sana,ukicoment kitu utasikia wewe umejiunga juzi unajua nini.Mi kuna mdau mmoja hata akiandika upuuzi like hadi zinamominika, comment wewe logic watu wanapita kama hawaoni
yani wana wivu balaa utafikiri WIVU ni shemeji yaoAlafii wanapitaa juu kwa juu kwa wivu wao wa kijingaa
Now n kuwakaushiaa tu kijanjaaa tu mkuuyani wana wivu balaa utafikiri WIVU ni shemeji yao
Hapo sawa mkuu,ndiyo nilimaanisha hicho kituBIG NO
Tuwe tunawapotezea tu thread zao mfanNAMPENDA FULANI.....Team makapuku tunashit tu na kujaa kwenye thread zetu wenyewe
Mkuu leo ni siku ya mavuno!Yan toka nizaliwe humu JF sijawahi kupata malike kibao km leo
Malike,macomment,matrophy na madude yote mnayoyafaham leo nnayo ya kumwaga
Itakuwa too lateMi najua watakuwa wanapita kimya kimya, na msishangae wakianzisha thread ya kutuponda
Nimekuuongezeaaa mkuu karibu uwanjaa wa Makapuku under prezidaa BitozYan toka nizaliwe humu JF sijawahi kupata malike kibao km leo
Malike,macomment,matrophy na madude yote mnayoyafaham leo nnayo ya kumwaga
Wacha wabane, wataachia tu.Wanabanaaaaaa sijui wanajiongezea wao??? Hapo mi hata sielewi kwako zinabaki kusomeka 5 tu
Nashangaaatutakuchangia mdau kwan sh ngapi bhana