Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Iko vizuri kabisa,nimerudi salama.Siku yako inaendaje?
Basi nimefurahi umerudi, pole kwa uchovuIko vizuri kabisa,nimerudi salama.
Achana nae huyu jamaa mbishi sana, atakusumbua.muulize mwenyewe😎
Asante mama,zawadi yako nitakupa badae.Basi nimefurahi umerudi, pole kwa uchovu
una bahat sana.. nilikuwa tayar nmepanga kukuangamiza.Mkuu nimerudi sasa
Usijali. Subira yavuta heriAsante mama,zawadi yako nitakupa badae.
Huwezi kunianganiza, niliacha walinzi wakutosha.una bahat sana.. nilikuwa tayar nmepanga kukuangamiza.
sema Nahrene tayari nmeshamuona
Naona umeingia anga ambayo sio huyu mtoto nimejuana nae kulee baati nzuri ameingia hapa na naomba th name umpe usajili mrembo aggyjay aiseeAsante Mkuu, nimejitwalia mtoto muzuri aggyjay, wala hana tatizo na mtu.
we fikiria hvyp hvyo tuu, siku utakapokuta amebaki mapengo tuu sijui utasemaje?Huwezi kunianganiza, niliacha walinzi wakutosha.
Huyu mtoto utabakia kumuita shemeji tu.we fikiria hvyp hvyo tuu, siku utakapokuta amebaki mapengo tuu sijui utasemaje?
Sawa mamaUsijali. Subira yavuta heri
[emoji5] [emoji5]Sawa mama
[emoji3] [emoji3] Usijali Mkuu, naona uko unaliendeleza gurudumu la kuijenga MAKAPUKU forum.Hatujambo....... Sorry, sijambo
Hivi ni kweli?,mwenyewe nimesikia eti!Lungumi kasepea Canada naskia!
Nipo nalisongesha [emoji2][emoji3] [emoji3] Usijali Mkuu, naona uko unaliendeleza gurudumu la kuijenga MAKAPUKU forum.
Hahahahaaaa...... Mkuu, kwani kujuana nae huko ndo kunamzuia yeye kuwa na mimi. Kujuana sio tatizo, ila mmejuana katika mazingira yapi [emoji3] [emoji3]Naona umeingia anga ambayo sio huyu mtoto nimejuana nae kulee baati nzuri ameingia hapa na naomba th name umpe usajili mrembo aggyjay aisee
Bado unatafuta nini wewe jamaa?Mie nimuulize nn?! We ndo concern yangu kuu...