Makapuku Forum

Makapuku Forum

Naona umeingia anga ambayo sio huyu mtoto nimejuana nae kulee baati nzuri ameingia hapa na naomba th name umpe usajili mrembo aggyjay aisee
Hahahahaaaa...... Mkuu, kwani kujuana nae huko ndo kunamzuia yeye kuwa na mimi. Kujuana sio tatizo, ila mmejuana katika mazingira yapi [emoji3] [emoji3]
Mtoto mwenyewe ndo amenikubalia sasa, ataanzaje kuniacha kwa mfano.
 
2138ef052321470790b1e844315e323c.jpg
07b7a1e8f666b0b620fe049e56edab7c.jpg
7e4e0270b732eba6aec41d91c3794e1b.jpg
6a79f591e0b15cedc6427fb495085ee5.jpg
565a00083128b0c2ed73884f71aa1b57.jpg

Kigamboni bridge
Lipo tayari kwa uzinduzi
Joto City imetulia
Twendeni tukapige selfie
.............................
 
Back
Top Bottom