hali yangu kama 'karudi baba mmoja toka safari ya mbali...kavimba yote mapaja na mwili...'ila inshala nasonga...Mkongwe kapuku....u hali gani....
vipi wewe za mashindoni!Mkongwe kapuku....u hali gani....
Siku haziwezi kufanana watu leo wapo busy.....siku km za mpira sikukuu..week end na matukio muhimu mbona watakuwa nyomi tu mpaka server ziombe pooView attachment 338104spidi imebadilika
RAIA kiu imepungua...wengi wameridhika sasaa
Karibu tuendeleze kulisongesha gurudumu.Ni nzuri sanaa
Asante...tupo pamojaaaKaribu tuendeleze kulisongesha gurudumu.
ingekuwa Enzi za mkwere hata tusingesubiri hizo siku...tungekuwa tunatumia mtandao wa ofc kusongesha makapuku!Siku haziwezi kufanana watu leo wapo busy.....siku km za mpira sikukuu..week end na matukio muhimu mbona watakuwa nyomi tu mpaka server ziombe poo
Msiwakatishe tamaa
..................................
Mkuu, unamaanisha watu wana tabia za kubadilika kama kinyonga.View attachment 338104spidi imebadilika
Hata mie naingojea kwa hamu.Haijafika tu 6900 ili 7000 niipate ?
daaaaaaaaaaah!!!! Ankali ndo nakupata nowAnkal bidae nicheki
Ila usiwe mbahili kama youngbloodAsante Mkuu, nimejitwalia mtoto muzuri aggyjay, wala hana tatizo na mtu.
Raisi kasema.Siku haziwezi kufanana watu leo wapo busy.....siku km za mpira sikukuu..week end na matukio muhimu mbona watakuwa nyomi tu mpaka server ziombe poo
Msiwakatishe tamaa
..................................
Hapana sina maana hiyoMkuu, unamaanisha watu wana tabia za kubadilika kama kinyonga.
Tuko poa, ulipotea.Za majukumu jamani, niliwamiss sana, hope mpo poa
ingekuwa Enzi za mkwere hata tusingesubiri hizo siku...tungekuwa tunatumia mtandao wa ofc kusongesha makapuku!
Sidhani kama wote wana majukumu, kuna wengine hawana 'bando'.Majukumu ndugu yangu
Ila hii ndio mida ya kurud nyumban
Sema kijana....Mnakomaa sana hadi mnaboa lol