Acha tamaa ya like.Makapuku mko wapi likes zimepotea
Ulikamatwa ugoni au!?Nilikamatwa mwenzio[emoji2] [emoji2] ndio maana nilikuwa sionekani
Likes ndio lengo hasa la uzi huu mkuuAcha tamaa ya like.
Mkuu umeshapata mke![emoji15] [emoji15] [emoji15]Nambie sweet wangu aggyjay.
kwa hiyo kapuku forum imekuwa asset ghafla?Naona Makapuku wamekupa likes za kutosha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli naona mkuu umekuja na mission maalumu.Likes ndio lengo hasa la uzi huu mkuu
Hahahaha tena asset kubwakwa hiyo kapuku forum imekuwa asset ghafla?
Naomba asije akawa Nahrene maana huaminiki wewe.Where are you my baby?
Bitoz aliwaasa msisahau kupeana...likes mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli naona mkuu umekuja na mission maalumu.
Kweli mkuu hapa ni toa likes upate likesBitoz aliwaasa msisahau kupeana...likes mkuu
Nahrene and lizziebettie watu wawili tofauti hawa.Naomba asije akawa Nahrene maana huaminiki wewe.
Eti single mother hahahahahaaa.....