Makapuku Forum

Maoni yangu hii MAKAPUKU FORUM ingeboreshwa zaidi kwa kuwa sticky au iwekewe jukwaa lake
Mzee mimi ndo founder
Makapuku hatupendwi na haiwezi fanywa sticky...siku ya 1 tu mods waliipiga kufuli ikiwa tyr na views 777 ....tukaanza upya
Tuendelee tu hivihivi hakuna tatizo
Ipo swaaf tu
Sticky huwekwa thread za wakongwe
Tukichanganywa na wakongwe tutakuwa tunatukanana tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
.......................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…