Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Du mkitoka wote itakuwa pigo kubwa bora iwe mmoja mmojaMwenzangu atabaki na nani?? Tunaondoka wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du mkitoka wote itakuwa pigo kubwa bora iwe mmoja mmojaMwenzangu atabaki na nani?? Tunaondoka wote
Kumbe mnajuana eehya jimena
Watanunaje sasa wale wa mpenzi sabuniMahaba niueee.....
Niponde ponde kama nyanya.....
Mpaka nikose cha kufanya.....
I dedicate this song goes to my lovely 'waifu' aggyjay.
Sweet! Achana nae, huyo anadalili za kuwa mpakaa poda.sasa bila ya kujamiiana tutaongezeka vipi?
Upo sahihi mkuu hata mimi binafsi sijajua yupi ni ME & yupi ni KE ..yaani ni shaghalabaghalaInaweza kua kweli asee,,.. especially hapa makapuku forum hakuna ratio kabisa, wanafaidi wachache tu akina Th Name, youngblood , sumbai, jonax, emmyguy , ibra87 si wengine tunakula kwa macho tu bob... Hata rais mwenyewe(Bitoz) nahisi kaambulia patupu
Una maneno weweWatanunaje sasa wale wa mpenzi sabuni
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Shem baki jamaa aondoke,asisikie [emoji12]Mwenzangu atabaki na nani?? Tunaondoka wote
mimi kama kapuku mwenzio najitolea kukutunukia mche mzima wa sabuni ya jamaa! uzuri waKe haiishii mapema na ina povu jingi sana!Mimi tu sina mwenza na hivi domo zito acha nisubiri huruma yao makapuku dadaz
tutajie captain wa team sabuni tafadhaliWatanunaje sasa wale wa mpenzi sabuni
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmmmmh naona aibu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Eti ni hivi nitajie yule MTU basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watanunaje sasa wale wa mpenzi sabuni
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hebu wataje nami niwajue hawa wavimba macho.Unataka niwataje au?
Jinsia yake hata mie bado sijaigunduaNi wakike au kiume
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Shem baki jamaa aondoke,asisikie [emoji12]
Tuanze naww... She or heUpo sahihi mkuu hata mimi binafsi sijajua yupi ni ME & yupi ni KE ..yaani ni shaghalabaghala
Ngoja kwanza tuwape company.Kama umechoka tuondoke mpenzi
Aibu ya nini tenaMmmmmh naona aibu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]