Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa nitoe ushauri kwa kapukuz wenzangu.

Unapojiandaa kutoa Post au kureply kule kwenye majukwaa Yale tunakobaniwa, Anza Na Neno Makapuku...

MF.
Makapuku: unayofanya lizaboni si mazuri.
Kulikuwa na signature kule setting lakini siku hizi sizioni
Tuhakikishe tunapendana tukiona mwenzetu anaonewa jukwaa fulani tunampa nguvu
Lakini sio kutukana
.....................
 
Back
Top Bottom