Ngoja nifanye manjonjo wifi akeBahati hizi asubuhi asubuhi...
Sawa wifi nirekebishieeee
Nahukuru sana dada ila kama dada angu naomba nikupe majukumu kidogo, Mimi ni mpole sana mwenye mapenzi ya dhati sana na si mchoyo sana haswa wa kuchana wallet ili mradi yeyote wa karibu yangu nione ana furaha unaweza nifikishia ujumbe huu kwa cute b na uongeze na maneno ya kwako tu ili mradi uone anatabasamu...Umesamehewa kaka
Marangu[emoji15] [emoji15] [emoji15] ila kina kiwelu ni watu wa Old Moshihapana unifananisha , ni Marangu mkuu ..
HahahahaNi kweli aisee sikubali nitalala na mfupa wa noah
Kujikubali tu ndo mambo yote.. Wapo wengi kama yeye ...kila siku njiani na vibakuli wanaombaKweli Mungu hakupi kila kitu na akunyimi kila kitu
mimi nipoNaona mie tu ndo nimekosa wa kumatch naye[emoji5] [emoji5] [emoji125] [emoji125]
Mkuu tuanze na weweNgoja waje.
Usijali kijana. Yameisha hayoMkuu nisamehe tu na nashukuru kwa muongozo lizziebettie popote ulipo naamin utakuwa ushanisamehe wangu...
Ni mke wa mtu huyo, umedanganywa.Nimenong'onezwa kuna mtu anaitwa lizziebettie yupo kwenye uhusiano huru..Kwa mwenye taarifa tofauti na hizi anijulishe...kabla sijapeleka maombi..
Kwani we bado tumimi nipo
Kabisa kujiamini ndo kila kitu wengine wako na viungo vyote but still wako barabarani na bakuli.Kujikubali tu ndo mambo yote.. Wapo wengi kama yeye ...kila siku njiani na vibakuli wanaomba
cute b kaka yangu amekudondokea, na kipesa sio mchoyo. Please mkubalie. Hali, halali.Nahukuru sana dada ila kama dada angu naomba nikupe majukumu kidogo, Mimi ni mpole sana mwenye mapenzi ya dhati sana na si mchoyo sana haswa wa kuchana wallet ili mradi yeyote wa karibu yangu nione ana furaha unaweza nifikishia ujumbe huu kwa cute b na uongeze na maneno ya kwako tu ili mradi uone anatabasamu...
Bonyeza #Tatizo nyotaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbona wewe haujataja?Mkuu tuanze na wewe
Halafu nilikuwa nakutafuta wewe mtu... Bora umekuja tuunde couple matata jf nzima yetu tutaitafutia na jina kabisaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]mimi nipo
Kiwelu imegawanyika mkuu, ila hii ya Kwangu ipo Marangu Mtoni, Mamba Maande...Marangu[emoji15] [emoji15] [emoji15] ila kina kiwelu ni watu wa Old Moshi
Usijali sweet, nakupenda sana.asante hubbyπππ
Mie nilishataja labda Kama hujaonaMbona wewe haujataja?
hahahaaa.....
bado mkuuKwani we bado tu