Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
HahahaOh sawa ngoja nimtafute japo anaweza kuwa alijiunga nyuma ya 2014 ila ana sifa zote za kuwa kapuku mara nyingi namwona akitibuana na wakongwe wenziwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaOh sawa ngoja nimtafute japo anaweza kuwa alijiunga nyuma ya 2014 ila ana sifa zote za kuwa kapuku mara nyingi namwona akitibuana na wakongwe wenziwe
Lazima itakuwa inasoma 5, sasa nenda kwenye jukwaa la malalamiko, kuna uzi pale tumelalamika kuhusu tatizo la likes kwa makapuku, ila kwasasa hatuandiki nenda kaweke nukta tu kisha urudi hiyo itaendelea mpaka mods watakapofanyia kazi tatizo letu.Rudi kaifungue kama haisomi 5 nalala
Kuna wenzetu zilikuwa zinasoma mpaka 40, kama kupunguza wamepunguza baada ya makapuku kulalamika, cha msingi nenda kule members only (kwenye malalamiko) kaweke nukta kisha urudiKulike si wanasema zikifika 5 mwisho
Nimekusoma mkuu jimena ngoja nifike hukoKuna wenzetu zilikuwa zinasoma mpaka 40, kama kupunguza wamepunguza baada ya makapuku kulalamika, cha msingi nenda kule members only (kwenye malalamiko) kaweke nukta kisha urudi
Bado hawajatuambia tatizo ni nini ila wamesema wanalishughulikia, usikose kupitia kwenye ule uzi wa malalamiko na kuweka nukta tukiwa tunasubiri walifanyie kazi tatizo letuHivi tatizo ni nini haswa.
Usione vyaelea vimeundwa, tumepigania jukwaa letu kwa siku nzima.Aisee huu uzi unapeta balaa. Ama kweli leo humu wameamua
Hakuna shida mkuu,ngoja nikaiweke.Bado hawajatuambia tatizo ni nini ila wamesema wanalishughulikia, usikose kupitia kwenye ule uzi wa malalamiko na kuweka nukta tukiwa tunasubiri walifanyie kazi tatizo letu
Pamoja sana na usiku mwema [emoji99] [emoji99] [emoji99]Makapuku wenzangu. Naomba nilale kesho church wengine.
Usiku mwema all Makapuku.
Pamoja tunaweza
Umehakiki mkuuu
Ngoja nihakiki
Basi hawa watu sio wazuri kabisa
Thio hapa!!! Kule complaints n advice..........
Uncle ametishaThio hapa!!! Kule complaints n advice
Malalamiko yameshafika kwa mods na wameahidi kulifanyia ufumbuzi tatizo hilo, kwasasa nenda jukwaa la malalamiko kuna uzi wetu pale usiandike kitu, weka nukta tu baaasiWhy likes hazionyeshi zaidi ya likes tano???
Hahaha,changamkia fursa mkuuHuu uzi lazima kuna mtu kabeba likes kama ELUFU[emoji38]
Siamini unaacha likes za bure kabisaGood night guys....baadae[emoji144] [emoji99]