damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Ulikuwa wapi weweAzam v Mwarabu......
Zaidi ya hapo wanaulizaga hivi shule zinafungua lini watoto wapungue?Au utasikia div 5, au hivi majibu bado hayajatoka watoto wapungue humu???
Soma hiyo comment ya BitozMakapuku ni nani?
TOP 10 makapuku tishio JF
Underground vs Wakongwe wa JF
JF kama Group la WhatsApp
KAPUKU ni
*Member aliyejiunga from Jan 2014
*Member mgeni
*Member asiye maarufu
*member underground
*Member mwenye post chache
*Member anayedharauriwa
*Member mnyonge
Kutokukidhi vigezo(kutokuwa kwenye list) haikuzuii kujumuika pamoja na Team Makapuku
Km una kigezo mPM Th Name akuadd
One love
Soma post #231
Ni muhimu sana
Lengo kuu la thread hii ni kuleta usawa Jf na kuwafanya makapuku wafurahie uwepo wao na sio kuigawa Jf........
Matusi hayaruhusiwi
Makapuku tuwe mfano wa kuigwa
Nimekubali aisee ni balaaTuko poa mkuu,tunalisongesha
We unaonaje...ni mmoja wao au wamekuzushiaNimeambiwa na mimi ni mmoja wao
Wamenizushia. "Kapuku"...jina baya hili jamani ltafutwe lingineWe unaonaje...ni mmoja wao au wamekuzushia
Du...pendekeza basiWamenizushia. "Kapuku"...jina baya hili jamani ltafutwe lingine
Makapuku famiiiiiilyyyKuna mtu anaweza kujiuliza makapuku wa Jf ni nani?
Kama una kati ya sifa hizi basi knowingly or unknowingly wewe ni kapuku :
1)Kama uki comment watu wanakurukia kwa kebehi kama wewe wa juzi, poor thinking, Jf imevamiwa, siku hizi hamna great thinkers, eti na huyu gt, n.k basi jua wewe ni kapuku.
2) kama ukianzisha uzi comments hazifiki page mbili wkt mwenzako hata akipost Namkubali sana member fulani zinamiminika comments page 20. Basi usingoje tukutaje, we ni kapuku.
3)Kama ukichangia hupati likes wakati mwenzako ana comment "duh" anakula likes nane. Basi karibu sana kwenye jukwaa wewe ni kapuku mwenzetu.
4) kama post zako hazimalizi saa 24 bila kufutwa au kuunganishwa na nyingine. Basi jina letu ni lile lile kapuku
5)Kama ukiingiza masihara kidogo kwenye post za wakubwa unajikuta umekula ban. Basi ndio ukapuku wenyewe tunaousema.
Na mambo mengine kama hayo