cc: damtanzaniaHv janaa damtz alihakikiii kwel upoteaj wa likes
1 wamempa mkongwe.Naona 5 tu
Wivu tu huo ulikuwa unawasumbua hao jamaa, pole Mkuu.Leo voda wameninyoosha, ghafla network haipo, nadhani wananionea wivu ninavyokula like
Duuh! Umetisha, au ndo unatumia zile simu za laini tatu??Mm jamani nina za mitandao yote net ikizingua tu na shift
Bado reply km 70 tuingie 2k repliesJf sijawahi kuona uzi unatembea spidi kama huu. yaani kama moto kwenye nyasi Kavu
Itakuwa wanaongezewa wale wabeba 'mabox' huko ng'ambo.Sio moja tu, ni zote zitakazozidi baada ya kufika tano
Hiyo Show itabidi isimamiwe na Mkuu wa kaya na si mods.Naimani ipo siku wakongwe watafungua thread na wao wakilalamika kuonewa
Hahahahaaa... Hapana mkuu.. Ujue mw wa sita sio mbali... Sipendi hasaraDuuh! Umetisha, au ndo unatumia zile simu za laini tatu??
Hureeeeeeeeeeeeee!Bado reply km 70 tuingie 2k replies
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unafikiri sie wachoyo, hapana. Umeiona hiyo hapo!jaman..
embu ongezeni juhudi za kunitunuku LIKE za kutosha hapaa, angalau nifikie kwenye three digits(yani 1000+)
[emoji120] tanteeee Kapuku mwenzanguUnafikiri sie wachoyo, hapana. Umeiona hiyo hapo!
Njema kapuku, sie tunaupitisha mchana kiukapukuHabar zenu makapukuuuu
Mkuu, nilikuwa busy kwa mda, now am back again.Ulipotea sana kapuku wewe
Kwangu network inasumbua, likes zinakuja nusu nusu.jamani huku nilipo kuna mvua balaa, mpaka Like zangu zinanifikia zikiwa zimelowa
[emoji15] hi hatareeeeKwangu network inasumbua, likes zinakuja nusu nusu.
Mkuu, kwa jinsi tunavyokupenda hatutaki hata unywe sumu maana tutakukosa.Makapuku ninavyowapenda nitakunywa sumu juu yenu,
Sio siri naumiaaaa naumiaaa..