Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Asante mkuu,sasa nimerudi rasmiKaribu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu,sasa nimerudi rasmiKaribu sana
Mweka hazina msaidizi hahahamweka hazina nipo
Karibu mkuuNaomba niwe kwenye list ya makapuku plz Th Name...
Ngoja nikuaddAsante mkuu,sasa nimerudi rasmi
Asante Mkuu, mapambano yaendelee.nami tayari mkuu
Ni add mkuu,huyu Bitoz amefanya kitu cha maana sana haiwezekani makapuku kila siku tuko nyuma,inatakiwa tujiamiani mwanzo mwisho.Ngoja nikuadd
Kabisaaa.!Ni add mkuu,huyu Bitoz amefanya kitu cha maana sana haiwezekani makapuku kila siku tuko nyuma,inatakiwa tujiamiani mwanzo mwisho.
Hujachelewa anza nao toka mwanzo tushiriki pamoja katika harakati hiziAisee huu uzi sijui kwanini umenipita
Mkuu nitapata summary kuazia hapa nyuma sirud tena.Hujachelewa anza nao toka mwanzo tushiriki pamoja katika harakati hizi
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] page ya 1 kucheki listNimeadd memba wengine kacheck list
Karibu sana. Tayari tawa drillerNaomba niwe kwenye list ya makapuku plz Th Name...
mbona mimi sipo, teh!Nimeadd memba wengine kacheck list
Kumbuka kutoa likes kwa makapuku wenzio na kumbuka sapoti ndio kitu cha msingi kwetu.Mkuu nitapata summary kuazia hapa nyuma sirud tena.
Upo kakambona mimi sipo
Hilo halina shida mkuu,hawa wanaojiita wakongwe lazima waisome namba.Kumbuka kutoa likes kwa makapuku wenzio na kumbuka sapoti ndio kitu cha msingi kwetu.
Karibu sana
Mods wanajua kazi yaoMakapuku ni kupambana kwanza huu uzi uwe SPECIAL THREAT chit chat kwa wingi inawezekana APO ndio nguvu zenu zinaitajika pambanieni hili kwanza kuliko kulalamika makapuku hilo ni wazo la msingi pambaneni sasa mod wasiki
Unaanzaje kukosa kwa mfano??mbona mimi sipo, teh!