damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Yaani you just like for no reason [emoji2] [emoji111]Kumbuka kutoa likes kwa makapuku wenzio na kumbuka sapoti ndio kitu cha msingi kwetu.
Karibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani you just like for no reason [emoji2] [emoji111]Kumbuka kutoa likes kwa makapuku wenzio na kumbuka sapoti ndio kitu cha msingi kwetu.
Karibu sana
Mkuu ulipitiwa nini!?
Ni pozi tuu la kupata like[emoji2] [emoji111]
Hahahahaaaa.....Pozi tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] mie nae utaniweza basiiii[emoji2]
Why not... ..Yaani you just like for no reason [emoji2] [emoji111]
Hebu pata [emoji481]Hahahahaaaa.....
Leo ni siku ambayo ni lazima tuipe heshima siku zote na kuienzi TEAM nzima ya MAKAPUKU.
Yaani we acha mpaka watueleweHahahahaaaa.....
Leo ni siku ambayo ni lazima tuipe heshima siku zote na kuienzi TEAM nzima ya MAKAPUKU.
[emoji484] [emoji484] [emoji484] zako hizoWhy not... ..
#TeamMakapuku
Hii siku inabidi tuiweke kwenye historia ya makapuku!Hahahahaaaa.....
Leo ni siku ambayo ni lazima tuipe heshima siku zote na kuienzi TEAM nzima ya MAKAPUKU.
Naanza kwa ku like yako kabla hujafika kwanguKama kawaida, leo nimeamua kutoa 'likes' kwa yeyote anayekommenti uzi huu.
Napita kila kona kuhakikisha nimetia mguu kwa comment yako.
Eeeh huo ndio mpango, mie nimeanza kutoa like kuanzia page ya kwanza hadi mwishoKama kawaida, leo nimeamua kutoa 'likes' kwa yeyote anayekommenti uzi huu.
Napita kila kona kuhakikisha nimetia mguu kwa comment yako.
Ni kweli kabisa.Hii siku inabidi tuiweke kwenye historia ya makapuku!
Uko sahihi kabisa, 09 April 2016 siku moja baada ya Birthday ya kapuku Jimena [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahahaaaa.....
Leo ni siku ambayo ni lazima tuipe heshima siku zote na kuienzi TEAM nzima ya MAKAPUKU.
nadhani anaweza kuwa kapukuyes nawe ni kapuku Ha Ha Ha.
Karibu
Shukrani, nimeona unavyotembeza like si mchezo.Eeeh huo ndio mpango, mie nimeanza kutoa like kuanzia page ya kwanza hadi mwisho
tupo pamoja mkuuNawapendeni makapuku woootee!