Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mkuu mimi pia ni mtaalamu sana tu,usijali tutakusaidiaDaaaa inabid nimtafute mshanajr anipe darsa kidogo nami niiiweze hii lugha Ile ya ndani ndani kabisa mlalo na vug'ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi pia ni mtaalamu sana tu,usijali tutakusaidiaDaaaa inabid nimtafute mshanajr anipe darsa kidogo nami niiiweze hii lugha Ile ya ndani ndani kabisa mlalo na vug'ha
Nwedi... Ongaaa...Nzakuelewa mghoshi.
Asante kwa kuja madame bHahahhh......acha wa-enjoy kwanza.
Dunia ni yao...wakati ni huu.
Safi vijana makapuku.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu kumbe wewe pia umo!!Nwedi... Ongaaa...
In swahili
Nzuri..niambieee
Japo nyerere alikataza
Nashukuru naona vigezo ninavyo na nguvu ninayo.makapuku wenzangu mpooooooo!Karibu kwenye familia ya makapuku, familia ilio tukuka. Unapata mvua ya likes mpaka unaomba poo. Hatuna dharau na ni waungwana. Sema mimi nikakaupungufu kadogo sipepelei upuuzi. Karibu sana, tunakupenda!
Pole sana mkuu,nguvu ya makapuku si mchezo.[emoji15] maninaaaaaa, yani kuwa offline kwa muda wa masaa 6 ndo thread imeshafikia page ya 133.
kwel sisi MAKAPUKU ndo tunayoiendesha Jf na siyo hawa wanaojiit wakongwe!!
Tupo mama, hauwezi nyanyasika ukiwa na familia kubwa kama hiiNashukuru naona vigezo ninavyo na nguvu ninayo.makapuku wenzangu mpooooooo!
Kula likes kula likes[emoji15] maninaaaaaa, yani kuwa offline kwa muda wa masaa 6 ndo thread imeshafikia page ya 133.
kwel sisi MAKAPUKU ndo tunayoiendesha Jf na siyo hawa wanaojiit wakongwe!!
Ipo hivi, una like, comment, unapata like.Nguvu ya uma hiyoo!
Khasante mkuu naona tunawapoteza wanatafutanaTupo mama, hauwezi nyanyasika ukiwa na familia kubwa kama hii
notedkuna wakati kuna vitu vinajitokeza kwa makusudi katika haya tunayofanya humu ndani.. Wengi tunawapa ustar Usiostahili.. Hawana wanachokiandika zaidi ya ujinga.. Tupo hapa kujenga na kurudisha Heshima ya Jf nzima... Hatuwezi kuwapandisha wale wasiostahili.. Tusimame imara
Yaani haina kuremba, lazima wasome mchezoNaona Mkuu mshana jr ameukubali ujumbe wetu, ameamua kutoa support mwanzo mwisho.
Mkuu, nayaheshimu sana mawazo yako, karibu kwa ushauri katika chama chetu cha MAKAPUKU.
Huyu mtu nampenda sana,hana makuu.Naona Mkuu mshana jr ameukubali ujumbe wetu, ameamua kutoa support mwanzo mwisho.
Mkuu, nayaheshimu sana mawazo yako, karibu kwa ushauri katika chama chetu cha MAKAPUKU.