sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia nashangaa labda wanasubiri kuwezeshwa.
Hivi hapa utamfaamuje mtu kama ni mdada.. Uku bora upite kimya kimya tu uchukue mavuno yako
wewe ndio unadhani na kuhisi hivyo lakin hatuwashangai, mmekuwa wakongwe Jina lakini vichwani hakuna kitu. Heshima Ya JF itarudishwa na UMOJA WETU NA SIO UTENGANO WENU.Anhaaa duh poleni sana, mnataka public attention kumbe?
Jitahidi kuwa na bundle ili muda mwingi uwe unachangia posts, kusoma vitabu ili uwe unachangia kwa point, na pia kua na marafiki hata 5 tu
NimeionaHujaiona bado?
Kumuignore mtu is the best answer...Anaumia sana kuona huku watu wanapendana.
Mkuu, naona unahitaji likes zetu kijanja, naona imekuchoma kumoyo.
Hebu mrushie jamaa namba yangu aniunge na bando la chuoUmetishaaaa mbayaaa.......
Asikuumize kichwa huyoNafikiri sijakuelewa
Bando linakata fanya faster jamaa aniungeUmetishaaaa mbayaaa.......
Nakupa siri
Haiwezekani hilo mzee, ona vidole vyako havifanani so just forgetMkuu sisi hatutaki public attention ya lazima,kikubwa tunataka kuona Jf isiyo na matabaka.
Siwatafuti kwa nia mbaya....wapo wengi tuu...nadhani ingependeza kuwajua...Hivi hapa utamfaamuje mtu kama ni mdada.. Uku bora upite kimya kimya tu uchukue mavuno yako
Mimi nilikuwa mmoja wao.Nakupa siri
Na mimi pia ni mwanamke, japo wengi wananiadress kama mwanaume. Labda huwa naongea kiume[emoji3]
Lete hela ya bundle unadhani atakuunganisha bure[emoji15]Hebu mrushie jamaa namba yangu aniunge na bando la chuo
Ha Haaaa....nlijua mwanaume...Nakupa siri
Na mimi pia ni mwanamke, japo wengi wananiadress kama mwanaume. Labda huwa naongea kiume[emoji3]
Kwa nguvu ya Makapuku yote yanawezekanaHaiwezekani hilo mzee, ona vidole vyako havifanani so just forget
KuuuumbeNakupa siri
Na mimi pia ni mwanamke, japo wengi wananiadress kama mwanaume. Labda huwa naongea kiume[emoji3]
khaaaaaaaNakupa siri
[emoji3]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Lete hela ya bundle unadhani atakuunganisha bure[emoji15]
NimekusomaSiwatafuti kwa nia mbaya....wapo wengi tuu...nadhani ingependeza kuwajua...