Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Hahaha,mkuu nimeshika simu hadi naona vidole vinatoa harufu ya mishkakiDuuuh watu mnachat tuache masihara, hili ni zaidi ya grupu la whatspp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha,mkuu nimeshika simu hadi naona vidole vinatoa harufu ya mishkakiDuuuh watu mnachat tuache masihara, hili ni zaidi ya grupu la whatspp
Spidi 180.Huu mwendokasi
Kaoge ziwani bro!Mweeh! nikaoge maji ya baharini
Makapuku msikose kupitia huo uzi [emoji115] [emoji115] [emoji115] hamtajutia muda wenuJinsi ya kuopoa msichana mzuri
Jifunzeni............
Na tunaishi Mara mojadah...haya bhana...haya maisha tu
Nawe karibiaa mkuuDuuuh watu mnachat tuache masihara, hili ni zaidi ya grupu la whatspp
Makapuku tu.Kwanini likes hazizid tano? Ni kwa kapuku au na wengineo
umeona comment #1?Kwanini likes hazizid tano? Ni kwa kapuku au na wengineo
Piga kazi kwanza mkuu....kwani wewe ni me au ke
Unibebee kidogo hayo maji kwenye kidumu,Mweeh! nikaoge maji ya baharini
Chukua chakoo mapemaaa....kishike saana ulicho nachoohoo mshaanza kuitana feaces za wadudu tena [emoji15] [emoji15]
Mkuu umewafanya nn mkuuMkuu bora umeleta huu uzi maana naona watoto wazuri wananikimbia kama simba.
mwe ngoja nikasomee tu upadrePiga kazi kwanza mkuu....
Una point sana.... Sasa kama kuna mahali sijakupa like sema nirudi nyuma mpaka page ya 1 nitembeze likes mwanzo mwishoKwa kuwa sipangiwi kutoa like kwa mtu, ntampa yeyote yule ambaye nitapenda.
Na moyo wangu umependa kutoa likes kwa makapuku tuu...
Mkuu mshauri akae hapa ajiimarishe kwanzaMkuu umewafanya nn mkuu
Pumzika swalama mpendwa.....Muda wangu wa kupumzika umefika
Muwe na wakati mwema wapendwa
Nawapenda familia yangu ya makapuuuu
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Hahahahamwe ngoja nikasomee tu upadre