Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Bitoz nae anasaka mapene!![]()
Nipo kwenye mihangaiko kusaka mapene
Si mnajua kitaa kinanukaKumbe Bitoz nae anasaka mapene!
Au kama kutoa password anaona shida basi a sign in kwenye simu yake kabisa halafu akupe hiyo simuNipe password yako nikusaidie Ku post
Na mimi niko nyuma ya nani vile?Niko no 2 kwa sasa, [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nyuma ya mshana
My humble congraturations kwa kila mwana JF aliyefanikisha hii mambo,
Nilikuwa tense sikuweza kufanya chochote kwa muda kidogo, now moyo wangu umesuuzika, let me get back to work nisije kutumbuliwa na waturuki😀😀
Mimi hata sionekani, naumia mieUzuri ni kwamba tuko wengi sana mule, wewe, mimi, rais, uncleBen na wengine wanakuja kwa speed ya ajabu pia, itafika mahali tutabakia sisi tu na Mshana[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mie niko mkiani, hata sionekani.Ntakushinda
Unaona raha mie kuwa mkiani?Mpaka raha yanii
Swadapta mkuu...Au kama kutoa password anaona shida basi a sign in kwenye simu yake kabisa halafu akupe hiyo simu