Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mku ulipotelea wapi!Tumepumzika joto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mku ulipotelea wapi!Tumepumzika joto sana
Ha ha ha haaa itabidi tuwe tunaitisha majina aaubuhi na jioniHuna mahudhurio mazuri jf, ila wewe sio KAPUKU.
Hahaha,hapo ni sawa na mtu anyekula umeme.Ama kweli umenogewa... Ngoja nikuletee mihogo mibichi na Karanga za kuchemsha
Nilikuwa busy kidogo na majukumuMku ulipotelea wapi!
Okay,karibu tenaNilikuwa busy kidogo na majukumu
Tuanze saivi... Ukiitika useme juzi, jana na leo kutokana na maudhurio yakoHa ha ha haaa itabidi tuwe tunaitisha majina aaubuhi na jioni
AsanteOkay,karibu tena
Umtafutie na mrembo wa kum-menyea hiyo mihogo na karanga afu awe anampepeaAma kweli umenogewa... Ngoja nikuletee mihogo mibichi na Karanga za kuchemsha
Watu wana hasira... Lazima heshima ipatikaneDah,ila kusema kweli hili vuguvugu ni hatari.
Kweli kuna watu humu ni watoro sana.Ha ha ha haaa itabidi tuwe tunaitisha majina aaubuhi na jioni
Hapo sasa nimekusoma mkuu.duh kumbe hujanielewa, namaanisha hamna hata kazi ya kawaida tu sio ya kisoomi kivile
Wachangiaji elfu 50 na viewers watakuwa laki 1 unusu.
Nahitaji saaana hizo bidhaaa....Ama kweli umenogewa... Ngoja nikuletee mihogo mibichi na Karanga za kuchemsha
Hivi humu ndani kuna anae tambua level ya elimu ya mwenzakedah haya bhana, haya maisha tu lakini wadau, tusidharauliane kwa ajili ya elimu, sema fresh tu maisha inabidi yaendelee
Njoo unipikie.Nipeni dili
sijui, ila dharau za nini sasa, sema potezea tu nisiharibu mood humu, tuendelee kuchat tu kawaidaHivi humu ndani kuna anae tambua level ya elimu ya mwenzake
Mnyonge mnyongeni....Member mnyonge